Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huku ni kudhalilisha hadhi ya Middle Developed Countries, nahisi wanawacheka huko balaa...
tapatalk_1521661695154.jpeg
 
Naomba msiwai liganisha huu uchafu na nairobi🙁🙁🙁
Wajinga ninyi, Picha ya Dar imepigwa kilometer kumi kutoka angani, wakati ile ya mji wenu chakavu mumepiga metre mia tatu juu ili kuhakikisha skyscrapers na beauty ya Dar haiyonikani, Nairobi is old, dirty, full os slums city, never ever compare with our modern city.
 
hahaha .....danganya toto jinga.....usiwe Judas Iscariot umkane mamako pia
Unalia tena tulishawaambieni dar hakuna udongo mwekundu never wewe usilazmiahe iwe dar wakat sio tafuta hzo picha ulipozitoa😀😀
 
waheshimiwa wazima wamekwamiana kama viberiti huku wakiharibu hewa kwenye lift kisa uzinduzi
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
they even wore their Sunday best to launch the first lift in Mbeya
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
this is the country that is comparing itself to kenya
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png

lift2-jpg.164062
14516716992_ef8e1ba887_b.jpg
Yani 2018 mtu ndio anajua na kushangilia paved road wakenya nlikosea wapi ndugu
F2184B7C-1C05-4AC5-AEFC-49BA80487877.jpeg
 
The most interesting part is that Mbeya is actually a city, a city with one lift! Eei yawa....pthoo. Achenu aibu ndiggo ndogo. hata Migori yetu iko na lift in two buildings
So lift kwako ww ni kitu cha ajabu sana😀😀😀😀 au inaongeza uchumi????
 
Back
Top Bottom