joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Mimi nimekutajia mambo ambayo Dar imeizidi Nairobi, hivyo Dar kuwa jiji bora kuliko Nairobi, sio lazima katika size peke yake. Wewe unayedhani Nairobi is better than Dar, try to challenge my points.DID YOU UNDERSTAND MY QUESTION?
umesema dar ni kubwa kuliko nairobi, swali langu ni je ukubwa wa dar umesaidiaje na udogo wa nairobi una madhara yepi?
WHAT ADVANTAGE DOES DAR HAS OVER NAIROBI DUE TO SIZE?
and as you are anwering, remember that Dar is bigger than new york,LA, washington...name them