Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

DID YOU UNDERSTAND MY QUESTION?
umesema dar ni kubwa kuliko nairobi, swali langu ni je ukubwa wa dar umesaidiaje na udogo wa nairobi una madhara yepi?
WHAT ADVANTAGE DOES DAR HAS OVER NAIROBI DUE TO SIZE?

and as you are anwering, remember that Dar is bigger than new york,LA, washington...name them
Mimi nimekutajia mambo ambayo Dar imeizidi Nairobi, hivyo Dar kuwa jiji bora kuliko Nairobi, sio lazima katika size peke yake. Wewe unayedhani Nairobi is better than Dar, try to challenge my points.
 
C4DYt3qUoAEdgvL.jpg
 
Mimi nimekutajia mambo ambayo Dar imeizidi Nairobi, hivyo Dar kuwa jiji bora kuliko Nairobi, sio lazima katika size peke yake. Wewe unayedhani Nairobi is better than Dar, try to challenge my points.
dude hata hujielewi, umesema dar ni kubwa kuliko nairobi lakini huwezi nionyesha basi kama ni kubwa kwa size imesaidiaje dar. ni kweli ukubwa wa area hauwasaidii hata so acha kusumbua kila siku na ooh dar ni 1500sq km, so what? it doesnt matter, as a matter of fact, its a disadvantage considering all of it is covered by unplanned settlement shacks which are also referred to as slums.
 
DID YOU UNDERSTAND MY QUESTION?
umesema dar ni kubwa kuliko nairobi, swali langu ni je ukubwa wa dar umesaidiaje na udogo wa nairobi una madhara yepi?
WHAT ADVANTAGE DOES DAR HAS OVER NAIROBI DUE TO SIZE?

and as you are anwering, remember that Dar is bigger than new york,LA, washington...name them
I have had a hard time explaining this simple thing to these bongolalas. Yani wanaona ya kwamba ukuwa wa Dar in sq km in maendeleo. Viumbe vya ajabu sana
 
I have had a hard time explaining this simple thing to these bongolalas. Yani wanaona ya kwamba ukuwa wa Dar in sq km in maendeleo. Viumbe vya ajabu sana
halafu hawezi explain mbona dar ni kubwa kuliko LA na Nai lakini vumbi wanakula sio chache
 
Back
Top Bottom