tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
hii ni true story...ukifika Kenya ukaagiza chakula mf wali na nyama utalipia kivyake ukitaka mboga Za majani utalipia 20ksh ukitaka kachumbari utalipia tena 20ksh sasa hawa nyumbu wakija Tanzania wakaagiza wali saving yake wataenda hadithia ukoo wao. ..watapewa chakula hadi walie machozi...Kenya hawana value for money kabisa ni kanchi ka hovyo kabisa waje kubishaCbd ikose watu vipi wakati unemployment ipo juu. Majobless lazima waende cbd kuzurura.

Nashangaa hata tunafanya nn na hii battle.. Maana ukiwajua utaona walivyo na wivu mioyoni mwao.. They wish they were us.. If you are true to yourself and your way of life.. life becomes more fulfilling. I totally agree with you .