Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Cbd ikose watu vipi wakati unemployment ipo juu. Majobless lazima waende cbd kuzurura.
hii ni true story...ukifika Kenya ukaagiza chakula mf wali na nyama utalipia kivyake ukitaka mboga Za majani utalipia 20ksh ukitaka kachumbari utalipia tena 20ksh sasa hawa nyumbu wakija Tanzania wakaagiza wali saving yake wataenda hadithia ukoo wao. ..watapewa chakula hadi walie machozi...Kenya hawana value for money kabisa ni kanchi ka hovyo kabisa waje kubisha
 
View attachment 711196East Upanga,picha ya mwaka 2005...no filter
Inkeddar_LI.jpg
 
Umenikuna sana
aminia, so Hawa jamaa ndio wanazingua huwezi fika nbo ukabamiza misosi mizuri kama ukiwa dar never...Mji mzuri lazima upate vyakula ule unywe you enjoy....Nimeshasema nikichukua likizo ntaaarange nifike nbo but wala sitengenezi sana hamu maana mengi yashasemwa na kuonekana
 
hii ni true story...ukifika Kenya ukaagiza chakula mf wali na nyama utalipia kivyake ukitaka mboga Za majani utalipia 20ksh ukitaka kachumbari utalipia tena 20ksh sasa hawa nyumbu wakija Tanzania wakaagiza wali saving yake wataenda hadithia ukoo wao. ..watapewa chakula hadi walie machozi...Kenya hawana value for money kabisa ni kanchi ka hovyo kabisa waje kubisha

Haha wakija hawarudi kwao.
 
any Tanzanian who knows Nairobi.....where does the left side of the interchange lead to...?....tick tock.....
18444805_1417890958295676_5867522588783149056_n.jpeg
 
If you don't care why your ass is here?



Dar es salaam is 1,393 sq. Km while Nairobi is 696 sq. km stop comparing the giant with that tiny lil town of yours
Dar es salaam is 1393 sq km while New York is 789sq km. Stop comparing the giant (Dar) with that lil town (New York). I can see you are making a lot of sense
 
Dar es salaam is 1393 sq km while New York is 789sq km. Stop comparing the giant (Dar) with that lil town (New York). I can see you are making a lot of sense
Unajitahidi kuhamisha goli lakini bado tunazamisha kama kawaa btw kama unadhan New York ndio jiji la mfano hujajua bado...Tokyo the biggest city all over the world is something to worry not even New York which comes 2nd after Tokyo...
 
Nashangaa hata tunafanya nn na hii battle.. Maana ukiwajua utaona walivyo na wivu mioyoni mwao.. They wish they were us.. If you are true to yourself and your way of life.. life becomes more fulfilling. I totally agree with you .



ateeee whaaat?.......lol........niokotwe kinondoni.Don't blame us yawa.....we are born to believe in ourselves.......you steal our cattle burn our chicks confiscate our maize harass Kenyans in tz but we still employ Tanzanians in Kenya to do odd jobs here in Kenya and beg on our streets without even harassing them.But at the end of the day you claim its Kenyans that are the devil reincarnate.Tanzania is the only country opposed to a honest EAC deal because of fear of Kenyans.....you hate our guts and hate Kenya in general.maybe because you are trying so much to overtake us only for you to land in a ditch or abyss....pwahahahaha.

na mlingoja vita......poleni.......
 
Back
Top Bottom