Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

na hio 19b ukae ujue imeshuka kcb ilia inatengeneza profit kubwa kuliko hiyo so kwann kila sector kwenu haifanyi vzr tatizo nn??????????????😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Mbona huoni ya crdb iliyoshuka kutoka 153 billion tsh to 95 billion tsh? Kweli nyani haoni kundule, leo ndo nimeamini. Alafu profit ya kcb haikushuka, it stagnated. Najua wewe ni mjinga wa mwisho lakini tafuta maana ya neno "stagnate". kama huwezi kutumia akili uliyopewa na Mungu, Google ni free kutumia.
 
We keep promoting there best musician bila uzushi...
you are not doing it for free we pay you.

kenya music promoters prefer do make deals with tanzanians artists because they know a big music event with a tanzanian will make big profit.
 
no one can ignore the power of Nairobi in East Africa .....even almost all Tanzanian musicians sneak into Nairobi for a piece of the pie. . .....including some over here.Mje lakini msikae sana
Huyo akija hapo Nairobi ana collect more than your annual salary loh!
 
nowdays we don't do our music videos with "local kenyan directors".

our videos are directed by international directors, the likes of justin campos. that's why our music is crossing borders very easy and videos are played by international tvs.


View attachment 710851View attachment 710852View attachment 710853View attachment 710854
It could have sounded better if it read this way..."nowadays we don't do our videos with 'local Kenyan firevtors', our videos are directed by our own (Tanzanian) directors". Hapo ungemake sense kidogo. Lakini kama bado mnaenda ulaya, juat know that you still have a long way to go na number mtazidi kuisoma
 
you are not doing for free we pay you.

kenya music promoters prefer do make deals with tanzanians artists because they know a big music event with a tanzanian will make big profit.


we only know Diamond and kiba..........the rest ni Kawaida Kawaida tu.
 
It could have sounded better if it read this way..."nowadays we don't do our videos with 'local Kenyan firevtors', our videos are directed by our own (Tanzanian) directors". Hapo ungemake sense kidogo. Lakini kama bado mnaenda ulaya, juat know that you still have a long way to go na number mtazidi kuisoma
endeleeni ku-shoot video zenyu kwa counties za kenya. sisi tunaenda ulaya.
 
we only know Diamond and kiba..........the rest ni Kawaida Kawaida tu.
porojo....
IMG_20180311_002906.jpg
IMG_20180311_002808.jpg
IMG_20180311_002755.jpg
 
endeleeni ku-shoot video zenyu kwa counties za kenya. sisi tunaenda ulaya.
And you think that is development? Ingekuwa ni wakenya wanafanya hivyo mgesema vile sisi tunalamba wazungu matako na kupenda anything western na hata kujifanya kama wao. You could have used all manners of words to demonize us for not being 'true Africans'. Smh
 
Huu ndiyo ulimbukeni wa wakenya, sijui lini mtapata akili, private issues ninyi mnazisherehekea kama sikukuu ya kitaifa, hii hutokea Kenya pekee, that's why is ranked as a failed state.

We ndio husema wakenya hawana pesa.
Okay kwanza hio party ilifanywa publicly it was not a private affair, secondly ni nyinyi hutuma hapa picha za wazungu wakiwa uchi kule zanzibar inakuwaje sahii ndio unagundua mambo na privacy 😀😀
 
oops, nilidhani unasema amekuja kufanya collabo na mwanamziki wa kenya. kumbe amekuja kwa ajiri ya uzinduzi wa albam yake?.

have you asked yourself the question why he is not doing music collabos with kenyan artists?.ukipata jibu kaa nalo.

NB:
kumbe Benjamin Fernandez huko kenya ni celebrity?. ... huku tz watu wachache sana wanamfahamu.binafsi najua ni mtoto wa mchungaji, zaidi ya hapo sijaona impact yake kwa taifa hili zaidi ya porojo zake za kusoma USA.
Huyo ndio nani sasa? watz mna vichekesho sana. Mimi najua kina Diamond (i honestly hate his music, sio kwa ubaya i don't listen to the type of music he does, but i admire his job, doing it big representing tanzanian) i also know Ali kiba and a few others like one called ray van who i only heard of ju alikuwa amekuja Diani South Coast na nilikuwa huko. Namjua Msichana anaitwa Rosa Ree alifanya collaboration na Khaligraph Basically nawajua wasanii kama kumi hivi wanaofanya kazi nzuri Dar
 
And you think that is development? Ingekuwa ni wakenya wanafanya hivyo mgesema vile sisi tunalamba wazungu matako na kupenda anything western na hata kujifanya kama wao. You could have used all manners of words to demonize us for not being 'true Africans'. Smh
reasons that compel your artist to shoot music videos inside kenya and not,USA, europe or SA is lack of enough fund that can fit to accommodate the whole production process. mengine ni porojo zenyu tu za kujifariji.

nina hakika artist wenyu wangekuwa na pesa za kutosha wasingeshoot videos kenya.
 
Ninyi wakenya mambo yamewawia magumu sasa mnatapatapa, slums maana yake ni makazi duni, yaani nyumba duni, hakuna maji wala mitaro ya kutiririsha maji. Kwanini hamleti picha zinazoonyesha nyumba zilivyo badala yake mnapiga picha kwa mbali toka hewani?, mbona picha za Kibera tunaona hadi mbwa waliolala chini?, kwa taarifa yako, hapo ni maeneo ya Magomeni, nyumba hapo ni ghorofa karibu 60%, lete picha ya chini ujionee, hatuna slums sisi, hilo ni tatizo lenu.
Huyu kila siku anaongea na machungu, wakenya walikufanya nini bro? Tulia😀 wanaume ni kuvumilia
 
We ndio husema wakenya hawana pesa.
Okay kwanza hio party ilifanywa publicly it was not a private affair, secondly ni nyinyi hutuma hapa picha za wazungu wakiwa uchi kule zanzibar inakuwaje sahii ndio unagundua mambo na privacy 😀😀
party ilikuwa attended na invitees only. haikuwa public... acha uongo.
 
Huyo ndio nani sasa? watz mna vichekesho sana. Mimi najua kina Diamond (i honestly hate his music, sio kwa ubaya i don't listen to the type of music he does, but i admire his job, doing it big representing tanzanian) i also know Ali kiba and a few others like one called ray van who i only heard of ju alikuwa amekuja Diani South Coast na nilikuwa huko. Namjua Msichana anaitwa Rosa Ree alifanya collaboration na Khaligraph Basically nawajua wasanii kama kumi hivi wanaofanya kazi nzuri Dar
hongera.
 
nowdays we don't do our music videos with "local kenyan directors".

our videos are directed by international directors, the likes of justin campos. that's why our music is crossing borders very easy and videos are played by international tvs.


View attachment 710851View attachment 710852View attachment 710853View attachment 710854
There is absolutely nothing to brag about that. For the most basic reason, a video is shot in South Africa, all the money is paid outside. You are taking money outside none is getting in.
Secondly, how will your film producers, video directors, cameramen, sounds/studio experts and all those get exposure!!? Hata models wenu hawapati exposure no wonder hawapo.
In Kenya Right now, the experience is epic. We have hundreds of big producers like kevin bosco, Enos olik... We've got people buying big equipment foe their studios i.e the red dragons are a common feature here. That thing alone costs $14,500 which is ksh 1.4 million. Continue being blinded
 
There is absolutely nothing to brag about that. For the most basic reason, a video is shot in South Africa, all the money is paid outside. You are taking money outside none is getting in.
Secondly, how will your film producers, video directors, cameramen, sounds/studio experts and all those get exposure!!? Hata models wenu hawapati exposure no wonder hawapo.
In Kenya Right now, the experience is epic. We have hundreds of big producers like kevin bosco, Enos olik... We've got people buying big equipment foe their studios i.e the red dragons are a common feature here. That thing alone costs $14,500 which is ksh 1.4 million. Continue being blinded
embu acha porojo.
IMG_20180311_010537.jpg
IMG_20180311_010557.jpg
 
Back
Top Bottom