COLLOH-MZII
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 722
- 297
Itakua too late man...Nairobi just can't compare with darslumSasa hivi tunawanyosha hatuna kiwanja kikubwa. Tukiwa na kikubwa untakimbia wewe!!!. Kwikwikwi
Itakua too late man...Nairobi just can't compare with darslumSasa hivi tunawanyosha hatuna kiwanja kikubwa. Tukiwa na kikubwa untakimbia wewe!!!. Kwikwikwi
Unapiga viatu yako picha unatutumia...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
![]()
Ndo maana nasema hamna chenu apoNairobi iko juu, soma tu nusu ya hiyo article yote......its all about Nairobi. Dar es Salaam majengo ni ya serikali, in Kenya haya majengo ni ya watu binafsi...........ohooooo, si bado mko nyuma!
Wewe sasa sijui utasaidika aje...kuja enda highschool Kenya masomo yenu ni duniNdo maana nasema hamna chenu apo
Makampuni hayo yakiamua kubomoa hamuongei chochote
Kwikwikwikwi. We are ahead on Tourism, Estate, Transportation, ICT, Construction, Strategy, Skyscraper, Agriculture, Food availability, Trustworthy, Investment etc. Nyie mko na nini sasa. Zaidi sana nyie ni washamba.Your trying but u can't catch up soon man
Unapiga viatu yako picha unatutumia...
Kwikwikwikwi. Nairobi ipo na ukubwa gani compare to Dar? Nairobi is almost equal to Kigamboni. But Dar es salaam has:-90% ya Nairobi is paved.
Dar ni 40%
By the way tayari international arrivals by flight tumewapiga bao. Don't cry as a baby wewe. We are talking facts. Hatutaki bla bla za Kibera hapa. Go learn how to present information on public. Siyo kuleta taarifa zisizo na references. We are giving you evidences and references. Acha ushamba.Itakua too late man...Nairobi just can't compare with darslum
Anaongea kujifrahisha tu huyu...mayb hesabu alibashiteKwikwikwikwi. Nairobi ipo na ukubwa gani compare to Dar? Nairobi is almost equal to Kigamboni. But Dar es salaam has:-
Ilala, Kinondoni, Temeke, Ubungo and Kigamboni. Sasa unapokuja kwa kupayuka lazima uje na statistical evidences.
How many kilometers na Dar ni kilomita ngapi zipo paved. Acha kupayuka. Kwikwikwi.
Kumbe wewe in mjinga sana...sijui nikutumie bundles u google ama...Kwikwikwikwi. Nairobi ipo na ukubwa gani compare to Dar? Nairobi is almost equal to Kigamboni. But Dar es salaam has:-
Ilala, Kinondoni, Temeke, Ubungo and Kigamboni. Sasa unapokuja kwa kupayuka lazima uje na statistical evidences.
How many kilometers na Dar ni kilomita ngapi zipo paved. Acha kupayuka. Kwikwikwi.
Dude d u know 70% of darslum live in slums to nai 50% now u know just use google ull pity ur city[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
![]()
Don't expose ur stupidity... Nairobi=Tanzania don't compare it with that darslum againBy the way tayari international arrivals by flight tumewapiga bao. Don't cry as a baby wewe. We are talking facts. Hatutaki bla bla za Kibera hapa. Go learn how to present information on public. Siyo kuleta taarifa zisizo na references. We are giving you evidences and references. Acha ushamba.
Kha! Kha! Kha! Naona wewe ni empty headed kabisa. Yaani unaongea ongea tu. Hayo mambo ya embassy yana uhusiano upi na maendeleo. Ukija kwenye stadium acha kabisa usiilinganishe Dar na mambo ya kijinga.Kumbe wewe in mjinga sana...sijui nikutumie bundles u google ama...
Airports
Nai 3 darslum 1
Embassies
Nai 64 darslum 23
GDP
Nai $33b darslum $9
Big stadiums
Nai 2 darslum 2
Just a few to mention its a pity
I think you brain don't want to believe what happening in Dar es salaam. My friend this is 2017 is not 90s. Ondoa ukoko wako kwenye ubongo. Iruhusu akili yako iamini unayoyaona. We are talking facts my friend. Wazungu waliwabeba sana sasa hivi wamewatupa mnabaki kulia lia kama watoto yatimaDon't expose ur stupidity... Nairobi=Tanzania don't compare it with that darslum again
Kaka wawekee caption kabisa kuonyesha kwamba hiyo ni dar es salaam. kwa mentality yao ya kijinga,watadhani hiyo ni Westland Nairobi,kumbe ni kigamboni,DSM.[emoji3]
My friend I came to darslum for 2 weeks last year for installation of sage at a company.let me give u facts,Kha! Kha! Kha! Naona wewe ni empty headed kabisa. Yaani unaongea ongea tu. Hayo mambo ya embassy yana uhusiano upi na maendeleo. Ukija kwenye stadium acha kabisa usiilinganishe Dar na mambo ya kijinga.
1. National Stadium
2. Uhuru Stadium
3. Azam Stadium
4. Jakaya Kikwete Youth Park
5. Karume Stadium
Wewe unaijua dar au unasikia tu. Acha kufananisha Dar na mambo ya kishamba. Internet ni 4.5G, Makampuni almost 10 ya telecom. Bing Market in east and central Africa.
Halafu kuhusu GDP umejiandikia tu wewe. Kwa sasa Tanzania ipo na almost $60b. Halafu more than half zinatoka Dar. Sasa unajiandikia tu ili kufurahisha nafsi yako. Kwikwikwikwi.
Unajua ukweli dar hailinganishwi na Nairobi but sikulaumu unaenda dar sana but facts haitambui mapenzi dudeI think you brain don't want to believe what happening in Dar es salaam. My friend this is 2017 is not 90s. Ondoa ukoko wako kwenye ubongo. Iruhusu akili yako iamini unayoyaona. We are talking facts my friend. Wazungu waliwabeba sana sasa hivi wamewatupa mnabaki kulia lia kama watoto yatima
soma hapa tena dogo:-
Tanzania is Africa's Leading Destination for International Air Arrivals - ForwardKeys Report - Footprint to Africa