Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Angalia majambazi wamewaibia sare za jeshi wakafikiri wakija Tz watabaki salama.. All dead.. Tena na Police force.. Au nyie ndio mliwafadhili ili waje kuharibu amani,??? Too bad Tanzania forces are not of their size

wale 15 waliuliwa na panga na rebels wa Congo pia walikuwa wenu...
.lol.We have never lost kdf to rebels yawa.......maybe terrorists
 
Kila ukiweka picha weka ushahidi hapo ni Tanzania, wewe ni mtu mzushi hakuna atakayekuamini siku hizi, tumekuonyesha picha karibu zote unazoweka sio Tanzania, prove kama hii ni Tanzania, acha ujinga.
Hiyo ni shauri yako...it is not my work to prove hapo ni Tz.
 
wale 15 waliuliwa na panga na rebels wa Congo pia walikuwa wenu...
.lol.We have never lost kdf to rebels yawa.......maybe terrorists
Wapi hao 15 unaowasemea??? Angalia hapo kwenye hiyo video, hao majambazi wamekutwa na sare za jeshi la Kenya
 
Ndio hapa confused traffic?
dar-es-salaam-tanzania-traffic-at-corner-of-azikiwe-and-india-streets-BW0N6W.jpg
Huu ni mwaka gani jamani.. plus nairobi wala msiongee kuhusu traffic nyie mnajua mnaongoza plus mlikua hamna traffic lights mmewekewe huu mwaka or mwishoni wa mwaka jana.. nakujaga nairobi kila mwaka huwezi nidanganya kitu..
 
Hatuaoni wajinga ,nyie wajinga tu,,,,hilo limedhihirisha wazi kuwa huhawahi fika Kenya ,ulikua unajidai eti ushafika Kenya kumbe ulifika through JF.......100& of houses in Nairobi ,Mombasa,Nakuru ,eldoret etc were built using stones,we hardly use bricks in Kenya.
Mm nishafika kenya ila usinidanganye eti hamupaki rangi eti nunatumia stone we unaijua stone kweli??? Munachoma matofali alaf munasema stone kumbe bogus sijawah kuona😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom