High Def
Senior Member
- Feb 16, 2018
- 150
- 84
nyie hamuombi ombi..... ni matajiri sana zaidi ya thamani ya migodi duniani.... na mnajulikana dunia nzima yaan kwenye ardhi mpaka mbingu.....
Kunao wakenya wanaoomba lakini Kenya's capitalistic nature makes many Kenyans less likely to beg, only doing it as a last resort. Ndio maana hutawapata kule Bongo waki beg beg kama nyinyi mnavyopenda kuja hapa kupewa vya bure kama jinsi Ujamaa ilivowafunza.