Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nyie hamuombi ombi..... ni matajiri sana zaidi ya thamani ya migodi duniani.... na mnajulikana dunia nzima yaan kwenye ardhi mpaka mbingu.....

Kunao wakenya wanaoomba lakini Kenya's capitalistic nature makes many Kenyans less likely to beg, only doing it as a last resort. Ndio maana hutawapata kule Bongo waki beg beg kama nyinyi mnavyopenda kuja hapa kupewa vya bure kama jinsi Ujamaa ilivowafunza.
 
Atleast Kenya yajulikana kwa mambo mengi kama uanariadha, Obama, Nairobi (among the top cities in Africa) ask any foreigner to name cities in Africa and Nairobi will be among them, the name Kenya itself is a brand abroad, hardly anyone doesnt know Kenya, Tea, etc. Sema kweli, nyinyi mnajulikana kwa nini? You are nobodies, foreign people would only mention Kilimanjaro or Serengeti which are natural resources when tanzania is mentioned but not any product you have made with your ingenuity.
1)Tribalism
2)Corruption
3)Hunger
4)Slums
5)Terrorism
6)Poverty
7)Gap between poor and rich
Hizi ndizo sifa kuu pia zinazoitanga za Kenya.
 
Kongole kwa mliyofanikiwa haswa kwa utalii. Lakini nikwambie kwamba the reason USA became what it s today was because of uniting many states into one. East Africa would become very successful if we united hata kama tutabaki na uraia wetu lakini tuwe na uchumi mmoja. Ingewezekana hata iwe EA na SADC ziungane. Lakini mibongo kama nyie hamuelewi mambo kama haya sijui hamna economists ama vipi!
ikiwa nyie mumeshindwa kuunganisha kenya kua moja na kuondoa tribalism mutaweza kuungana na east africa wote???😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Hakuna mshiko, you have commercialized begging in your home country. Professional begging is a thing in Tanzania, I hear they are very convincing beggars. "Naomba unisaidie hata shilingi moja mungu atakubariki..." Others play some traditional music equipment around the streets of Nairobi mostly unapata ni familia mzima kutoka babu hadi wajukuu wamekaa chini wakicheza melodies za kibongo (very eerie sounds I think they were specifically made for begging if not for church).
wimbo za mwangaza ama mbiu choir...........
 
Kunao wakenya wanaoomba lakini Kenya's capitalistic nature makes many Kenyans less likely to beg, only doing it as a last resort. Ndio maana hutawapata kule Bongo waki beg beg kama nyinyi mnavyopenda kuja hapa kupewa vya bure kama jinsi Ujamaa ilivowafunza.
unauhakika na unachokisema...?.. ‹
 
Kunao wakenya wanaoomba lakini Kenya's capitalistic nature makes many Kenyans less likely to beg, only doing it as a last resort. Ndio maana hutawapata kule Bongo waki beg beg kama nyinyi mnavyopenda kuja hapa kupewa vya bure kama jinsi Ujamaa ilivowafunza.
Ufahamu wako mdogo unakufanya uonekane chizi, hivi unajua kwanini hao wanakuja huko?, kwasababu Tanzania hawaruhusiwi kuomba, wangeruhuisiwa kamwe usingemuona hata mmoja kuja huko, na beggars wengi wa Kenya wangevuka mpaka, Kenya maisha yenu ni magumu sana, pesa mnaipata kwa shida sio kama Tanzania, hivyo hata kusaidia omba omba sio rahisi, Tanzania watu wana roho nzuri na kupenda kusaidia, wangeruhusiwa huku, wangejaa miji yote.
 
Unaona ulivyo mjinga, tulikua tunazungumzia Kenya kupendwa na beggars kwa sababu umesema "They know where money is", mimi ninakuambia Tanzania attracts investors not beggars, kwahiyo kati ya beggars na investors nani anayejua pesa ilipo, wewe umeona unashindwa, umeamua kurukia katika eneo ambalo hata huna uwelewa wowote huko, nikijo huko kwenye investments, na FDI nako nitakubana pumzi utarukia kwengine, stupid Kenyan.

Mjinga ni wewe. Sasa unajigamba na knowledge ya investments na ni wazi kuwa unabahatisha tu. Beggars hawataenda mahali pasipo na pesa nyingi circulating in the economy, they need that easy money, mostly in form of petty cash kwa mikono za watu. That is Begging 101 pale University of Dar es salaam.
Pili, FDI kwa kawaida hutoka kwenye nchi tajiri zikielekea kwenye nchi maskini (kuzishinda). SA has more FDI's in Kenya than the vice versa, UK/US has more FDI flowing to SA than vice versa, Kenya has more FDI flowing to Tanzania than vice versa. But dont get fooled that our FDI is making you richer than us. Remember that money flows back to Kenya as the owners are from here. Its a special case of Lucas Paradox. The bottom line is that no country loses but the country with the higher FDI gets richer quicker than the recipient.
 
ikiwa nyie mumeshindwa kuunganisha kenya kua moja na kuondoa tribalism mutaweza kuungana na east africa wote???😀😀😀😀😀😀😀😀😀

Zinaitwa tofauti za kisiasa. Siasa zetu ni moto wa kuotea mbali. But we all do it for the love of country. Great nations are built from the bones of the dead. Just look at Europe the wars they fought and where they are. Kama kazi yenu ni kutulia tu mkingoja serikali ifanye mambo zake hamtawai kuwa kitu ya maana. You are just laying ducks. Kenyan politics are followed globally but no one knows when there are elections in Tanzania. If you watch international media, Kenya elections are followed keenly just like the ones from the US and UK. Hatutaki kuungana kisiasa. Tunajua hamuwezani na high intensity politics zetu, ila kibiashara na mambo mengine muhimu tukiungana ni sawa.
 
Ufahamu wako mdogo unakufanya uonekane chizi, hivi unajua kwanini hao wanakuja huko?, kwasababu Tanzania hawaruhusiwi kuomba, wangeruhuisiwa kamwe usingemuona hata mmoja kuja huko, na beggars wengi wa Kenya wangevuka mpaka, Kenya maisha yenu ni magumu sana, pesa mnaipata kwa shida sio kama Tanzania, hivyo hata kusaidia omba omba sio rahisi, Tanzania watu wana roho nzuri na kupenda kusaidia, wangeruhusiwa huku, wangejaa miji yote.

Wewe danganya tu. Hawaruhusiwi na articles zimejaa za beggars huko kwenu? Hata moja nimeshare muda mfupi tu uliopita. Tangu hawa beggars wa bongo wafanywe interviews sijawahi kuskia hata mmoja akisema kuwa alikuja kenya maanake kule kwao hawaruhusiwi. Wote husema walikuja kenya maanake waliskia pesa ni nyingi huku. Bado walikuwa beggars kule bongo kabla wakam ivi but no money there. Sasa mkenya akija Tanzania kuombaomba si atapoteza fahamu baada ya kubeg siku mzima gunia limejaa pesa Tshs alafu kwenda kuzihesabu usiku anapata ni shilingi mia tano za kenya.
 
Mjinga ni wewe. Sasa unajigamba na knowledge ya investments na ni wazi kuwa unabahatisha tu. Beggars hawataenda mahali pasipo na pesa nyingi circulating in the economy, they need that easy money, mostly in form of petty cash kwa mikono za watu. That is Begging 101 pale University of Dar es salaam.
Pili, FDI kwa kawaida hutoka kwenye nchi tajiri zikielekea kwenye nchi maskini (kuzishinda). SA has more FDI's in Kenya than the vice versa, UK/US has more FDI flowing to SA than vice versa, Kenya has more FDI flowing to Tanzania than vice versa. But dont get fooled that our FDI is making you richer than us. Remember that money flows back to Kenya as the owners are from here. Its a special case of Lucas Paradox. The bottom line is that no country really loses but the country with the higher FDI gets richer quicker than the recipient.
Investors wanaangalia nchi ambayo uchumi wake ni mzuri, nchi ambayo kuna pesa na watafanya biashara, sasa hivi katika ukanda huu, ni Ethiopia na Tanzania pekee ambazo zinavutia uwekezaji, kumbuka Mohamedi Dewji a Tanzania businessman is the richest person in East and Central Africa, lakini hafikirii kuja kuwekeza Kenya kwa sababu uchumi wenu unakufa, hauna uwezo wa kushikilia kampuni zake. In short every country tries to attract investors, it is only those countries that their economies are doing very well where investors will go, for this Kenya is a loser. More FDI, more jobs, more taxes, more money.
 
wasomali wamejaa Nairobi lakini wanafanya biashara eastleigh...watz wanafanya biashara sana pia...biashara ya kushika vikombe vyao na kuomba omba😀😀😀😀😀
 
Nitaumiaje wakati ni kweli kadoda11 lete ile picha tumuone Jay456 akinya kwa sewage
mwambie alete tu😀😀😀😛😛😛omba omba wa East Africa...albino killers😀😀😀😀wanyama sana...juzi mmemfanyaje maskini diwani wa Mungu? duh!
 
Yeah, hizo pesa wanazokuja kuinvest huko walizitengeneza papa hapa kenya. We are colonizing you with FDI na ni kama hauelewi. Sitaki kuenda deep hapa maana nnavowajua watanzania wanaweza kuanzisha xenophobic attacks against kenyans juu ya wivu. Lets do business, let our investors invest there and if you have any, they are welcome here. Thats how to grow each other
Naona unakubali kushindwa sema kwa mbinde tuu hahahahahah
 
Back
Top Bottom