Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna mshiko, you have commercialized begging in your home country. Professional begging is a thing in Tanzania, I hear they are very convincing beggars. "Naomba unisaidie hata shilingi moja mungu atakubariki..." Others play some traditional music equipment around the streets of Nairobi mostly unapata ni familia mzima kutoka babu hadi wajukuu wamekaa chini wakicheza melodies za kibongo (very eerie sounds I think they were specifically made for begging if not for church).
aisee nimewakubali hao na nimewavulia kofia nimegundua kitu aisee wakenya wenzenu nj nowma sana na wana mbinu sana mpaka wanafikia hatua yakujifanya wabongo....

swafi kabisa kweli kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake
 
hahahaha lakini dunia hawaitambui wanatambua slums za kenya na nigeria😀😀😀😀😀😀
we unaona wazungu wajinga sana kuitaja kibera hehehe😛😛😛😛😛

kama chakula hamuna na watu wanakufa kwasababu ya njaa ni maendeleo gani mutafanya nairobi hakuna maji mwaka mzima unategemea maendeleo gani, vijana hawana ajira what do u expect hahahah be serious

Atleast Kenya yajulikana kwa mambo mengi kama uanariadha, Obama, Nairobi (among the top cities in Africa) ask any foreigner to name cities in Africa and Nairobi will be among them, the name Kenya itself is a brand abroad, hardly anyone doesnt know Kenya, Tea, etc. Sema kweli, nyinyi mnajulikana kwa nini? You are nobodies, foreign people would only mention Kilimanjaro or Serengeti which are natural resources when tanzania is mentioned but not any product you have made with your ingenuity.
 
Tanzanians please!produce your own😀😀
trend4-17.jpg
 
aisee nimewakubali hao na nimewavulia kofia nimegundua kitu aisee wakenya wenzenu nj nowma sana na wana mbinu sana mpaka wanafikia hatua yakujifanya wabongo....

swafi kabisa kweli kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake

Kaka, hao ni wabongo na wanasema wenyewe pia Kiswahili chao. Na ni tabia mbaya sana kukana kaka ama dada yako eti kwa msingi kuwa ni maskini. That only happens in communist countries
 
Kaka, hao ni wabongo na wanasema wenyewe pia Kiswahili chao. Na ni tabia mbaya sana kukana kaka ama dada yako eti kwa msingi kuwa ni maskini. That only happens in communist countries
wafukuzeni.......... na msiwape chapaa


ila wakenya ni nowma sana
 
kama ni upuuzi boda za kiafrika njoo wewe tanzania uone kama utatoka??? au nenda merarani jifanye wewe mwehu ruka ukuta alioeka magu alaf uone sasa😀😀😀😀😀😀😀

democracy ina kiasi sio ipitilize kiwango chake, ndio maana democracy ikipitiliza sana athari yake ni kubwa sana kwa nchi sasa sisi kama tanzania tunajaribu kuliangalia sana hilo

kutembea tunatembea sana na tumeshatangaza sana vivutio vya kitalii kwa sasa tanzania inafahamika kwenye utalii na inaingiza pesa mara nne zaidi yenu so hilo lisikutiwe wasiwasi sana😛😛😛😛😛

Kongole kwa mliyofanikiwa haswa kwa utalii. Lakini nikwambie kwamba the reason USA became what it s today was because of uniting many states into one. East Africa would become very successful if we united hata kama tutabaki na uraia wetu lakini tuwe na uchumi mmoja. Ingewezekana hata iwe EA na SADC ziungane. Lakini mibongo kama nyie hamuelewi mambo kama haya sijui hamna economists ama vipi!
 
wafukuzeni.......... na msiwape chapaa


ila wakenya ni nowma sana

Huwezi kuzuia wananchi kuwapa wanaoomba. Ingewezekana wangeachishwa ili begging isiwe business. But thats the society we live in 🙄, people are taught to give from an early age and though it helps, it also creates that other problem of professional begging.

Mbona wakenya ni nouma? 😛
 
Kongole kwa mliyofanikiwa haswa kwa utalii. Lakini nikwambie kwamba the reason USA became what it s today was because of uniting many states into one. East Africa would become very successful if we united hata kama tutabaki na uraia wetu lakini tuwe na uchumi mmoja. Ingewezekana hata iwe EA na SADC ziungane. Lakini mibongo kama nyie hamuelewi mambo kama haya sijui hamna economists ama vipi!
duuh.... wewe utakuwa ni chapombe..... umeanza vizuri halafu umechanganya na pumba zako....
 
wapo wabongo wengi tu wanaofanya ishu zao nnje ya nchi sema huwa hawana time yakujianika na vile vile hata sisi huwa hatuna shobo za kuwafuatilia


 
unaambiwa kimya kimya..... hatunaga shobo zakushobokeana ovyo...... watanzania hata ukiwakuta nnje ya nchi haswa bara la ulaya huwa hawana mda wakurundikana pamoja kama nyie mikenya

 
Huwezi kuzuia wananchi kuwapa wanaoomba. Ingewezekana wangeachishwa ili begging isiwe business. But thats the society we live in 🙄, people are taught to give from an early age and though it helps, it also creates that other problem of professional begging.

Mbona wakenya ni nouma? 😛
nyie hamuombi ombi..... ni matajiri sana zaidi ya thamani ya migodi duniani.... na mnajulikana dunia nzima yaan kwenye ardhi mpaka mbingu.....
 
Yeah, hizo pesa wanazokuja kuinvest huko walizitengeneza papa hapa kenya. We are colonizing you with FDI na ni kama hauelewi. Sitaki kuenda deep hapa maana nnavowajua watanzania wanaweza kuanzisha xenophobic attacks against kenyans juu ya wivu. Lets do business, let our investors invest there and if you have any, they are welcome here. Thats how to grow each other
Unaona ulivyo mjinga, tulikua tunazungumzia Kenya kupendwa na beggars kwa sababu umesema "They know where money is", mimi ninakuambia Tanzania attracts investors not beggars, kwahiyo kati ya beggars na investors nani anayejua pesa ilipo, wewe umeona unashindwa, umeamua kurukia katika eneo ambalo hata huna uwelewa wowote huko, nikijo huko kwenye investments, na FDI nako nitakubana pumzi utarukia kwengine, stupid Kenyan.
 
The mere fact that all the countries in your post are by far ahead of Tanzania should tell you alot. No matter how many times you appease yourself with it, Kenya will always be your peers in terms of development. Your job is to follow us, learning to avoid the mistakes we have made in our quick journey to progress.
Maneno ya mtu aliyekata tamaa haya,
 
Back
Top Bottom