Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The mere fact that all the countries in your post are by far ahead of Tanzania should tell you alot. No matter how many times you appease yourself with it, Kenya will always be your peers in terms of development. Your job is to follow us, learning to avoid the mistakes we have made in our quick journey to progress.
Idiot hahahaha tutalearn nn toka kwa wakenya et???? Ukabila au??
 
hawa jamaa tofauti ya kuku na binadamu hawajui...wote wanachinjwa chinjwa na panga, visu na kadhalika...waulize albino waliosalia....au waulize wapinzani wa serikali...wana roho ngumu sana aisee...heri umpige mtu risasi kama mlivojaribu na Lissu kuliko kumfanya jinsi mlivomfanya maskini diwani wa Mola
 
Investors wanaangalia nchi ambayo uchumi wake ni mzuri, nchi ambayo kuna pesa na watafanya biashara, sasa hivi katika ukanda huu, ni Ethiopia na Tanzania pekee ambazo zinavutia uwekezaji, kumbuka Mohamedi Dewji a Tanzania businessman is the richest person in East and Central Africa, lakini hafikirii kuja kuwekeza Kenya kwa sababu uchumi wenu unakufa, hauna uwezo wa kushikilia kampuni zake. In short every country tries to attract investors, it is only those countries that their economies are doing very well where investors will go, for this Kenya is a loser. More FDI, more jobs, more taxes, more money.

Appreciate that we were in an electioneering period and that happens every five years, business slows down and a year later we pick up and off we go. Also dont forget that wengi wa hao investors ni Wakenya kwa hivyo ni vyema mnatusaidia kuingiza pesa wakati siasa imeshika sana huku. You are our 'backup' when we are rebooting. Si kuwa uchumi wa kenya hauna uwezo wa kusupport kampuni. Global companies are setting up shop in Nairobi almost every day.

Nairobi rank top destinations for Fortune 500 companies establishing international headquarters
 
Investors wanaangalia nchi ambayo uchumi wake ni mzuri, nchi ambayo kuna pesa na watafanya biashara, sasa hivi katika ukanda huu, ni Ethiopia na Tanzania pekee ambazo zinavutia uwekezaji, kumbuka Mohamedi Dewji a Tanzania businessman is the richest person in East and Central Africa, lakini hafikirii kuja kuwekeza Kenya kwa sababu uchumi wenu unakufa, hauna uwezo wa kushikilia kampuni zake. In short every country tries to attract investors, it is only those countries that their economies are doing very well where investors will go, for this Kenya is a loser. More FDI, more jobs, more taxes, more money.

Far from it! That Mohd Dewji will dare not come over coz he'll meet his match. He only thrives in Tz coz bongolalas gives him no competion.

FYI: Why Nairobi has become a haven for global firms
 
Appreciate that we were in an electioneering period and that happens every five years, business slows down and a year later we pick up and off we go. Also dont forget that wengi wa hao investors ni Wakenya kwa hivyo ni vyema mnatusaidia kuingiza pesa wakati siasa imeshika sana huku. You are our 'backup' when we are rebooting. Si kuwa uchumi wa kenya hauna uwezo wa kusupport kampuni. Global companies are setting up shop in Nairobi almost every day.

Nairobi rank top destinations for Fortune 500 companies establishing international headquarters
waambie kwetu sisi kutuma CV kule headquarters za Google, CGTN, BBC, Coca Cola, IMB, Microsoft na kadhalika ni kawaida tu...
 
huyo jamaa Mo dewji hawezani na Kenya haha....kule biashara hawajui ndio maana ana function kama monopoly...akijaribu kuipenyeza Kenyan market ata poteza 50% ya net worth in 5 years😀😀😀
 
Kongole kwa mliyofanikiwa haswa kwa utalii. Lakini nikwambie kwamba the reason USA became what it s today was because of uniting many states into one. East Africa would become very successful if we united hata kama tutabaki na uraia wetu lakini tuwe na uchumi mmoja. Ingewezekana hata iwe EA na SADC ziungane. Lakini mibongo kama nyie hamuelewi mambo kama haya sijui hamna economists ama vipi!
Mibongo hatuelewi au baba yenu wa taifa mzee kenyatta ndio alikua hajui???? Nyerere alimwambia tuungane tena akamwambia kabsa na urais wa ea anamwachia yeye kenyatta lkn nyang'au likagoma leo mnaaona hamna hata ardhi wala chakula ndio mnaona kuungana deal eehhhh.... Pambanen na hali zenu nani aungane na mikenyA roho mbayaa
 
Far from it! That Mohd Dewji will dare not come over coz he'll meet his match. He's only thrives in Tz coz bongolalas gives him no competion.

FYI: Why Nairobi has become a haven for global firms
Tanzania ina heavy weight businessman kuliko Kenya, huyu mtu amefungua kampuni zake hadi South Africa, akija hapo Kenya, wafanyabiashara wengi wa Kenya watafunga biashara zao, ninyi size yenu ni Bakhresa pekee, amekuja huko na vinywaji, unga na ving'amuzi na TV yake, tayari soko la kurusha ligi za mpira ameanza kutawala, je akija Mo Dewji ambaye utajiri wake ni mara mbili ya Bakhresa mtamuweza?
 
Mibongo hatuelewi au baba yenu wa taifa mzee kenyatta ndio alikua hajui???? Nyerere alimwambia tuungane tena akamwambia kabsa na urais wa ea anamwachia yeye kenyatta lkn nyang'au likagoma leo mnaaona hamna hata ardhi wala chakula ndio mnaona kuungana deal eehhhh.... Pambanen na hali zenu nani aungane na mikenyA roho mbayaa

Hii ni kweli? Ilikuwa mwaka gani? Kama ni hivyo basi Nyerere alikuwa kaona mbele. Lakini unajuaje kama Kenyatta alikuwa ashaona udhaifu wa Nyerere ki-mwono wa jinsi ya kudevelop nchi na hio ukomunisti wake? Nyerere kwanza hakai kutamka maneno kama hayo kwa Kenyatta
 
An opposition politician was hacked to death at his home in central Tanzania on Thursday night, police said on Friday, as his party described the murder as a "political assassination."

Godfrey Luena, of the Chadema party, was the elected head of the small Namawala municipality in the central Morogoro Region. He was the second party official to be killed in such circumstances in the past fortnight.

Luena's murder was confirmed by regional police commander Ulrich Matei, who said the motive was unknown and the killers were being sought.

At a press conference in the economic capital Dar es Salaam, Chadema deputy secretary John Mnyika said Luena had left his home on Thursday night to look into a power cut affecting his house alone.


"He was then attacked by a group of men armed with machetes," Mnyika said.

"This is a political assassination," Mnyika added, saying Luena had been defending residents against alleged land-grabbing by local ruling party officials.
 
Mnyika said the killing was part of an assault on the opposition "from all sides by the government of President (John) Magufuli and the police."

"The time for self-defence has come!" he added.

On February 13, Daniel John, responsible for the Chadema party in the Hananasif district of Dar es Salaam, was found dead with machete wounds to the head during a heated local election campaign.

Chadema president Freeman Mbowe blamed youth members of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM).

In September 2017, senior opposition lawmaker Tundu Lissu was shot several times at his home in the capital Dodoma.

He was rushed to the Kenyan capital Nairobi where he was in intensive care for several months, before being transferred to a hospital in Brussels.

Chadema accuses the ruling party of being behind that attack, claims rejected by the government.
 
Tanzania ina heavy weight businessman kuliko Kenya, huyu mtu amefungua kampuni zake hadi South Africa, akija hapo Kenya, wafanyabiashara wengi wa Kenya watafunga biashara zao, ninyi size yenu ni Bakhresa pekee, amekuja huko na vinywaji, unga na ving'amuzi na TV yake, tayari soko la kurusha ligi za mpira ameanza kutawala, je akija Mo Dewji ambaye utajiri wake ni mara mbili ya Bakhresa mtamuweza?

What new thing will he bring to Kenya? There're equally if not better investors of his kind in Kenya. Over there he thrives on monopoly. Wacha ainvest huko kwenu.
 
Back
Top Bottom