Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
safi kabisa
safi kabisa
hao mafundi waliovijenga hivyo vibanda mbona kidsign wana zero..aisee ni vibayakahawa shuge
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
few tanzanians can access the net thanks for proving thatforget the hashtags, even places, instagram does not locate you to any slum places for dar es salaam, that means there are no slums in dar. but instagram does so for nairobi.
haki instagram haitaki ujinga...nimecheka yangu yote.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
90% from uganda our main trade partners
Msumari wa moto huofew tanzanians can access the net thanks for proving that

unadhani uko wanakuja bila sababu ya msingi....hao ni wafanya biashara ya mziki hivyo wakipata dili la show ndiyo wanakuja..umesahau Abedy ngosso a Tanzanian chose to stay in Kenya to do music...
Christina shusho pia alihamia Kenya akahepa LDC....
Nyuki pia alihepa tz kufanya mziki Kenya....
Alikiba pia ni kama amehamia Mombasa.......
Diamond pia kila weekend lazma aje pool party Kenya .....
Oh Ommy Dimpoz pia aliishi huku pamoja na Venessa Mdee.....
as I said...matusi mtarusha lakini mtakuja tu in the most developed country in East and central Africa....
hata joto la jiwe najua anapanga kuja Kenya....Hahaha.Mje wote tunywe tusker.....my fren.....ama namna gani..."in William kipchirchir Samoei Ruto's " voice....

Kwikwikwikwi. Unahaha sana, mmeanza lini kuwa na partnership na uganda. Unakumbuka migingo? Unakumbuka jinsi mlivong'oa reli ili uganda wasipitishe mizigo? Unakumbuka EPA? Unakumbuka bomba la mafuta? Kenya mko pekee yenu kwa sasa kila mmoja anawatenga.90% from uganda our main trade partners
Uganda and kenya is one ata mabro hukosana kiasi but uganda is our baeKwikwikwikwi. Unahaha sana, mmeanza lini kuwa na partnership na uganda. Unakumbuka migingo? Unakumbuka jinsi mlivong'oa reli ili uganda wasipitishe mizigo? Unakumbuka EPA? Unakumbuka bomba la mafuta? Kenya mko pekee yenu kwa sasa kila mmoja anawatenga.
Kijana si uko obsessed na Kenya. Unajua mpaka news za 2000s?? Mamen, kujia citizenshipKwikwikwikwi. Unahaha sana, mmeanza lini kuwa na partnership na uganda. Unakumbuka migingo? Unakumbuka jinsi mlivong'oa reli ili uganda wasipitishe mizigo? Unakumbuka EPA? Unakumbuka bomba la mafuta? Kenya mko pekee yenu kwa sasa kila mmoja anawatenga.
Knowledge is power, ignorance is stupidityKijana si uko obsessed na Kenya. Unajua mpaka news za 2000s?? Mamen, kujia citizenship
Nime google Kenyan hospitals nime kutana na habari za wakina mama wajawazito kuwa raped wakiwa hosp!!! i had to stopIt's not about how grand the buildings are,you moron! Just Google Kijabe Mission Hospital and you'll retract your nonsensical comment!
, not cool at all, hw can one do that!!! Your advice has ruined my morning aaarrggghNime google Kenyan hospitals nime kutana na habari za wakina mama wajawazito kuwa raped wakiwa hosp!!! i had to stop, not cool at all, hw can one do that!!! Your advice has ruined my morning aaarrgggh

Well this dude is just obsessedKnowledge is power, ignorance is stupidity
Well this dude is just obsessedKnowledge is power, ignorance is stupidity
We are suppose to know many things around the globe, knowledge is nutrients for your brain.Well this dude is just obsessed
kauli ya mtu aliyekata tamaafew tanzanians can access the net thanks for proving that
Another tenant wants to occupy the space...business never ends dude
Haha wewe ni mzee mjinga kwa wazee wote nishai wapatakauli ya mtu aliyekata tamaa
kuna vitu....vipo wazi.....na hata wewe unajua mfano mdogo tu nisiende mataifa ya mbali tanzania tumepigana vita vya taifa nakumchapa uganda chini ya idd amin dada.......inamaana hilo haulijui?,,sasa mimi naleta links wewe unaongea tu kisha unaniambia mi sina facts? haha
Top 10 African Countries With The Best Military - AfrikanFacts.com