COLLOH-MZII
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 722
- 297
Hapo ni dar usikane kwenuFala kweli picha ya kwanza na ya mwisho itaftie sehemu yake... usilazmishe tufanane kwenye habari ya slum hatutofanana daima😀😀😀
Hapo ni dar usikane kwenuFala kweli picha ya kwanza na ya mwisho itaftie sehemu yake... usilazmishe tufanane kwenye habari ya slum hatutofanana daima😀😀😀
Nlikia nazungumzia metro mzaeNazungumzia city area , nazungumzia city area unabadilisha gear angani😀😀😀😀
Dar ya kwako labda heheh nilishakwambia tanzania hakuna nyumba za mabati nyumba ni za block hakuna nyumba ya mabati go east go west😀😀😀😀😀😀😀😀Hapo ni dar usikane kwenu
City area dar is 1590 km sqNlikia nazungumzia metro mzae
Manadsm hah sawasawaAli Hassan Mwinyi hiyo, juu unaelekea Kinondoni makaburini, chini hiyo ni Kenyatta drive unaelekea Coco beach, hiyo ni Stanbick Bank HQ, pembeni yake ni ubalozi wa Urusi.
Tanzania nzima huwezi kuta uchafu huo, hata vijijini hukuti labda kambi za wakimbizi, huo ni utamaduni wenu wakenya kuishi maisha duni kama hayoHapo ni dar usikane kwenu
Kuna uwezekano hiyo picha moja si ya Dar. Lakini vipi kuhusu hizo picha zingine? je hizo shanties pia si picha za Dar? Naomba unijibuHii sio Dar es salaam. Huku ni coast area hatuna udongo mwekundu. Msijalibu kuhamisha magoli tutawaubua. Hiyo picha niya vijijini, ushagoView attachment 697408
Manadsm hah sawasawa
Kwasasa nipo kijijini kwangu Mwakaleli, Mbeya, ila Dar niliishi sana enzi ya ujana wangu

Haha poapoa![]()
![]()
Kwasasa nipo kijijini kwangu Mwakaleli, Mbeya, ila Dar niliishi sana enzi ya ujana wangu
![]()
![]()
New York is 780 square kilometres. Does it mean Dar is better than new York simply because it covers a bigger area? Your reasoning is patheticCity area dar is 1590 km sq
Nai 696 km sq
Hehheheh😀😀😀😀😀😀
Tofaut ya newyork na dar niHaha 1500 sq km of shanties.
Ukubwa inasaidia nini?
New York City is 789 km sq.
Can you compare new York to Dar?
New York GDP is $1,500.1 billion while tanzania GDP just hit $40 billion.
New york is developed cityNew York is 780 square kilometres. Does it mean Dar is better than new York simply because it covers a bigger area? Your reasoning is pathetic
Kumbe wikipedi 😀😀😀😀😀2.5 million ni wewe
In 2008 an independent team of researchers began a door-by-door survey named "Map Kibera Project" [35] with the aim to map physical and socio-demographic features of the slum. A trained team of locals, after having developed an ad-hoc surveying methodology, has so far gathered census data of over 15,000 people and completed the mapping of 5000 structures, services (public toilets, schools), and infrastructures (drainage system, water and electricity supply) in the village of Kianda . On the basis of data collected in Kianda, the Map Kibera Project team estimated that the whole Kibera slum could be inhabited by a total population ranging from 235,000 to a maximum of 270,000 people, dramatically scaling down all previous figures. [36]
[37]
Kibera - Wikipedia
Hapa utangoja sana comments zao. Wanapita kana kwamba hawaoni hizo picha za dream houses. Cha ajabu ni kwamba 80%-90% of Dar es salaam looks exactly like these pictures above. Hata kisumu iko na mitaa bora kushinda hizo changaduo za Dar. Cha ajabu ni kwamba utaona wakileta picha za kibera forgetting that they have a bigger and worse version of kibera in Dar is slummiddle class Dar zones
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
and Tanzanians think they are doing very well....Hahaha.Hiyo kama si laana ni wendawazimu
Ni million mbili na laki 7 sio laki mbili bro ile ni wikipedia naweza kubadilisha sasa hviDoor to door kibera lazima upotee maana kwanza palivyokaa tu ni shida
Btw Kibera is the symbol ya ustaarabu wa wakenya. ..Hao binadamu laki 2.7 sio masihara ni manispaa kabisa hyo. ...japo wapo wengi zaidi wanazaliwa kila uchao
Mtasubiri sana, Tanzania hatuna slums, hizo picha ni zenu msitake kutuharibia CV yetu tuliyoijenga kuanzia our indepence day ya kupambana poor houses. Tanzania HoyeeeeeeHapa utangoja sana comments zao. Wanapita kana kwamba hawaoni hizo picha za dream houses. Cha ajabu ni kwamba 80%-90% of Dar es salaam looks exactly like these pictures above. Hata kisumu iko na mitaa bora kushinda hizo changaduo za Dar. Cha ajabu ni kwamba utaona wakileta picha za kibera forgetting that they have a bigger and worse version of kibera in Dar is slum

Hiyo isikusumbue roho...hata nyinyi bomoeni hizo dream houses zenu mjenge decent houses. Hakuna atakaewauliza jinsi mtazitumiaIzo flats wanapewa bure au kwa utaratibu gani...
Even IEBC register says there are only 78,000 registered voters in kibera. I wonder how out of 2.5 million people only less than 100,000 have registered as voters. as I always say, common sense is not common to some people2.5 million ni wewe
In 2008 an independent team of researchers began a door-by-door survey named "Map Kibera Project" [35] with the aim to map physical and socio-demographic features of the slum. A trained team of locals, after having developed an ad-hoc surveying methodology, has so far gathered census data of over 15,000 people and completed the mapping of 5000 structures, services (public toilets, schools), and infrastructures (drainage system, water and electricity supply) in the village of Kianda . On the basis of data collected in Kianda, the Map Kibera Project team estimated that the whole Kibera slum could be inhabited by a total population ranging from 235,000 to a maximum of 270,000 people, dramatically scaling down all previous figures. [36]
[37]
Kibera - Wikipedia