Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

e155c9d628f1c7d07832ced24531aa71.jpg
Wow zanzibar😀😀😀😀
Haitokei na haitatokea wacha ibaki ndoto
D2E011B6-FF8E-4180-B784-B3BABEABEE46.jpeg
 
Hii sio Dar es salaam. Huku ni coast area hatuna udongo mwekundu. Msijalibu kuhamisha magoli tutawaubua. Hiyo picha niya vijijini, ushagoView attachment 697408
Kuna uwezekano hiyo picha moja si ya Dar. Lakini vipi kuhusu hizo picha zingine? je hizo shanties pia si picha za Dar? Naomba unijibu
 
City area dar is 1590 km sq
Nai 696 km sq

Hehheheh😀😀😀😀😀😀
New York is 780 square kilometres. Does it mean Dar is better than new York simply because it covers a bigger area? Your reasoning is pathetic
 
Haha 1500 sq km of shanties.
Ukubwa inasaidia nini?
New York City is 789 km sq.
Can you compare new York to Dar?
New York GDP is $1,500.1 billion while tanzania GDP just hit $40 billion.
Tofaut ya newyork na dar ni

Newyork is developed city

Nai na dar ni developing city

Akili tu sio nguvu😀😀😀😀
 
New York is 780 square kilometres. Does it mean Dar is better than new York simply because it covers a bigger area? Your reasoning is pathetic
New york is developed city

Nai na dar are developing city hahahah

Akili tu sio nguvu
 
2.5 million ni wewe
In 2008 an independent team of researchers began a door-by-door survey named "Map Kibera Project" [35] with the aim to map physical and socio-demographic features of the slum. A trained team of locals, after having developed an ad-hoc surveying methodology, has so far gathered census data of over 15,000 people and completed the mapping of 5000 structures, services (public toilets, schools), and infrastructures (drainage system, water and electricity supply) in the village of Kianda . On the basis of data collected in Kianda, the Map Kibera Project team estimated that the whole Kibera slum could be inhabited by a total population ranging from 235,000 to a maximum of 270,000 people, dramatically scaling down all previous figures. [36]
[37]
Kibera - Wikipedia
Kumbe wikipedi 😀😀😀😀😀

Nibadilishe nieke 10 people only
 
middle class Dar zones
144b2531e41d40ef214ab16ac85f130a.jpg
373766998fd707717c25bb580aebc91b.jpg
93b729af3e1ae183e1c18cd73326e97d.jpg
9d031f9e318dcfdc7c947aa4a4d6ccdb.jpg
4da98961fc3c76864c5167207f8d5127.jpg
f4b0e02906fdf515c50a6a9a6da49275.jpg
ae2ef0354f65e132fd784b81bf64b16c.jpg
e542e4e0801e1a97b2c8c3855ef0bc45.jpg
5d65f8e5965038732cac210a30d369e4.jpg
5419b09c2a6083e42cf3a053265739d8.jpg



and Tanzanians think they are doing very well....Hahaha.Hiyo kama si laana ni wendawazimu
Hapa utangoja sana comments zao. Wanapita kana kwamba hawaoni hizo picha za dream houses. Cha ajabu ni kwamba 80%-90% of Dar es salaam looks exactly like these pictures above. Hata kisumu iko na mitaa bora kushinda hizo changaduo za Dar. Cha ajabu ni kwamba utaona wakileta picha za kibera forgetting that they have a bigger and worse version of kibera in Dar is slum
 
Door to door kibera lazima upotee maana kwanza palivyokaa tu ni shida

Btw Kibera is the symbol ya ustaarabu wa wakenya. ..Hao binadamu laki 2.7 sio masihara ni manispaa kabisa hyo. ...japo wapo wengi zaidi wanazaliwa kila uchao
Ni million mbili na laki 7 sio laki mbili bro ile ni wikipedia naweza kubadilisha sasa hvi
 
Wanatafuta kila njia kuchukua picha za nchi tofaut tofaut kulazmisha ni dar lakin chaaajbu wanaumbuka wenyewe

Roho zinawauma kukosa sehemu kama kibera wanajihisi vibaya sama walijua wako mbele kumbe wako nyuma na wanazidi kurudi nyuma



Hahahahh ohhhh my ribs 😀😀😀😀😀
 
Hapa utangoja sana comments zao. Wanapita kana kwamba hawaoni hizo picha za dream houses. Cha ajabu ni kwamba 80%-90% of Dar es salaam looks exactly like these pictures above. Hata kisumu iko na mitaa bora kushinda hizo changaduo za Dar. Cha ajabu ni kwamba utaona wakileta picha za kibera forgetting that they have a bigger and worse version of kibera in Dar is slum
Mtasubiri sana, Tanzania hatuna slums, hizo picha ni zenu msitake kutuharibia CV yetu tuliyoijenga kuanzia our indepence day ya kupambana poor houses. Tanzania Hoyeeeeee
 
Izo flats wanapewa bure au kwa utaratibu gani...
Hiyo isikusumbue roho...hata nyinyi bomoeni hizo dream houses zenu mjenge decent houses. Hakuna atakaewauliza jinsi mtazitumia
 
2.5 million ni wewe
In 2008 an independent team of researchers began a door-by-door survey named "Map Kibera Project" [35] with the aim to map physical and socio-demographic features of the slum. A trained team of locals, after having developed an ad-hoc surveying methodology, has so far gathered census data of over 15,000 people and completed the mapping of 5000 structures, services (public toilets, schools), and infrastructures (drainage system, water and electricity supply) in the village of Kianda . On the basis of data collected in Kianda, the Map Kibera Project team estimated that the whole Kibera slum could be inhabited by a total population ranging from 235,000 to a maximum of 270,000 people, dramatically scaling down all previous figures. [36]
[37]
Kibera - Wikipedia
Even IEBC register says there are only 78,000 registered voters in kibera. I wonder how out of 2.5 million people only less than 100,000 have registered as voters. as I always say, common sense is not common to some people
 
Back
Top Bottom