ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Pamezeeka kama Moshi town
HahahahahahahahahaTURUKANA AIRPORT😀😀😀View attachment 697097 THE TERMINAL BUILDING OF TURUKANA AIRPORT😀😀😀😀😱😱View attachment 697101 View attachment 697099 View attachment 697100 View attachment 697102
Hizi rahana mlizipata wapi??
Sijui mbona watanzania hutusumbua sana once we step into their country.........tuusan tuliwakosea nini
Ni kama LDC inavyoizidi middle income katika kasi ya kukua kwa uchumi 7% vs 4.4%, LDC inazalisha chakula cha kulisha middle income, LDC inajenga electric train kwa pesa yake wakati middle income ilikopa na kujenga old fashion diesel engineA failed state inacharaza a stable LDC state toka kwa uchumi hadi michezo si uliona vile tulitwanga muungano LDC combined kwenye mpira wa soka.

😀😀😀😀 kumbe photoshop zimesaidia sanaA high-end luxurious estate somewhere 2km from dar CBD
![]()
inaitwa gari moshi😀😀😀😀Ni kama LDC inavyoizidi middle income katika kasi ya kukua kwa uchumi 7% vs 4.4%, LDC inazalisha chakula cha kulisha middle income, LDC inajenga electric train kwa pesa yake wakati middle income ilikopa na kujenga old fashion diesel engine![]()
![]()
![]()
Mbona ninyi mlifanya ceremony ya kuzindua train la mwaka 1850 kwa sherehe kubwa?nauliza tu...mtu mwenye akili timamu anaweza kufanya ceremony ya kuzindua lift?😀😀😀😀kwani tuko 1956?
hebu tuambie ww hapo ni wapi???😀😀Huku ni wapi?
![]()
withiout make up
View attachment 697156