Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hebu tuambie ww hapo ni wapi???😀😀
tanzania nzima hakuna binaadamu anaishi kwenye nyumba ya mabati zunguka tanzania nzima ukipata nitag
Hata heri mabati.
6781268314_0c8c317f47_b.jpg


Flickr : SaveTanzania
 
Kama unasumbuliwa na polisi mbona hata sisi hutusumbua ni kasumba yao...nataka useme ukwel apa mtz gani alikuonyesha chuki ukiwa uku. ..Kama hamna basi peace uache story za vijiweni
KFrom my Experience Tz, ukienda Tz as atourist you will have avery good experience but neda kufanya kazi na uwe kitengo chajuu kuzidi wenyeji.. Wengi hucheka nawewe lakini wanakustab from your behind.. So many of my friends working overthere have been deported for nothing... Walio wachezea shere ni wafanyikazi wenzao...
 
KFrom my Experience Tz, ukienda Tz as atourist you will have avery good experience but neda kufanya kazi na uwe kitengo chajuu kuzidi wenyeji.. Wengi hucheka nawewe lakini wanakustab from your behind.. So many of my friends working overthere have been deported for nothing... Walio wachezea shere ni wafanyikazi wenzao...
ndio maana tumewafukuza na bado tunafanya uhakiku vizuri tutawaondoa wote na olewenu muingie mererani kuna JWTZ shaba nje nje😀😀😀😀😀

ukitaka kumuua nyani usimtizame usoni mumesahau nyie miaka 10 iliopita mulitutukana na kutukejeli sana sasa wakat wenu ndio huu, tutawafanya kama tunavofanya vifaraga vinavotoka kwenu

leo hii munataka kujifanya nyie wazuri sana😛😛

ndio maana mugabe aliwaponda sana hamuna utu
 
ndio maana tumewafukuza na bado tunafanya uhakiku vizuri tutawaondoa wote na olewenu muingie mererani kuna JWTZ shaba nje nje😀😀😀😀😀

ukitaka kumuua nyani usimtizame usoni mumesahau nyie miaka 10 iliopita mulitutukana na kutukejeli sana sasa wakat wenu ndio huu, tutawafanya kama tunavofanya vifaraga vinavotoka kwenu

leo hii munataka kujifanya nyie wazuri sana😛😛

ndio maana mugabe aliwaponda sana hamuna utu
Mugabe hakuwai iponda Kenya. That was fake news!
 
Back
Top Bottom