Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Only Arusha and Zanzibar.?,shida yenu mlikaririshwa na mababu zenu kuhusu Tz,,na kwa sababu hampo tayari kufahamu ukweli kuhusu Tz endeleeni kukariri hivyo hivyo

Kwa taarifa yako Tz utalii umetamalaki karibu kila kona ya nchi japo idadi ya wataliii haiwezi kuwa same level na hizo sehemu ulizotaja,,kwa uchache tu kuna LUSHOTO,BAGAMOYO,MOSHI,MAFIA ISLAND,KILWA,IRINGA,RUKWA,MOROGORO na hata KIGOMA kwenye wanyama jamii ya SOKWE

Bahati mbaya sana (bahati nzuri kwa Kenya) ni kwamba Tz tulichelewa sana kutangaza vivutio vyetu na pia hatukuwa na miunfombinu mizuri ya utalii,,lakini kwa miaka ya karibuni tumerekebisha hayo mapungufu tena labda ni kwa 25% only ya inavyotakiwa lakini mmeanza kuwashwa (Muuliza Waziri wako wa utalii juzi alivyokuwa anajitekenya na kulia mwenyewe)

Mind u,,gharama za utalii kwa Tz zipo juu compared to Kenya lakini bado watalii wanamiminika kwetu kama mvua

Na kwa mikakati pamoja na projects zinazoendelea forget about overtaking Tz kwa upande wa Utalii.Ukanda wa kusini wenye vivutio lukuki ndo kwanza tunauamsha,,kwa tafsiri nyingine ni kwamba tayari kwa kutumia Arusha na Zanzibar tu (kama ulivyodai) tayari tushawanyea sasa itakuwa vp kama hayo maeneo mengine niliyokutajia ambayo bado ni machache kulinganisha na maeneo yenye vivutio tuliyonayo yakiwa fully utilized kwa kuyatangaza na kuimarisha miundombinu ya utalii (utekelezaji wa hayo umeanza)

Kwenye sekta ya utalii nyie sio size yetu .!
My point exactly Tz tourism is centred in two Cities the rest wanapata bakshishi tuu.

In kenya it is so distributed across, ukiskia waziri Balala akizungumza alisema pwani yakenya imelegea kutengeza new resorts but bush resorts are doing good business..

For your info no Kenyan father or grandfather discusses about Tz... We careless for Tz and it's business while tanzanians have sleepless nights about Kenya
 
sportpesa watajua hawajui

e805c189b1053dfeb1ab7b80299a30f5.jpg
 
My point exactly Tz tourism is centred in two Cities the rest wanapata bakshishi tuu.

In kenya it is so distributed across, ukiskia waziri Balala akizungumza alisema pwani yakenya imelegea kutengeza new resorts but bush resorts are doing good business..

For your info no Kenyan father or grandfather discusses about Tz... We careless for Tz and it's business while tanzanians have sleepless nights about Kenya
Unfortunately nearly all your GDP is owned by only 10,000 people, and you are celebrating from morning to midnight everyday that you have bigger GDP. Today you are talking different version of distribution of tourism just because Tanzania has defeated Kenya hands down on tourism. stupid Kenyans from failed state.
 
Serikal ilipoteza mapato mengi kusomesha hii ng'ombe lakin bado katoka mweupe
Ni hasara Kwa wazazi wake kuna msemo waswahili wanasema "Wazazi wameuza nguruwe ili wampeleke nguruwe mwingine shuleni" ndio hawa!
 
watanzania wenzangu tunaenda wapi
Nacheka japo na huzuni
9ae989281428d0c4ec9bd4ff0de1e606.jpg
 
Unfortunately nearly all your GDP is owned by only 10,000 people, and you are celebrating from morning to midnight everyday that you have bigger GDP. Today you are talking different version of distribution of tourism just because Tanzania has defeated Kenya hands down on tourism. stupid Kenyans from failed state.
This is just a pedestrian comment with no facts to back it
 
Mzee kadoda11, 2020 tukiongea mambo na nuclear energy, charging stations ya electric cars, MRT, space exploration (launching satellite) nitakubali lakini tukiongea kuzindua flyover nitakataa.
Ni kama juzi mkituaibisha ati mna launch lift.
BptR55IIMAAhe39.jpg:small

14516716992_ef8e1ba887_b.jpg

14331208029_ab74ae3cf7_b.jpg

Kwani hamchoki kujiaibisha?

Seriously! 😀😀😀. Kenya hii ni basic minimum requirement on a commercial/residential storey house over 6 flrs. Rural towns zimejaa lifts na escalators!!
 
My point exactly Tz tourism is centred in two Cities the rest wanapata bakshishi tuu.

In kenya it is so distributed across, ukiskia waziri Balala akizungumza alisema pwani yakenya imelegea kutengeza new resorts but bush resorts are doing good business..

For your info no Kenyan father or grandfather discusses about Tz... We careless for Tz and it's business while tanzanians have sleepless nights about Kenya
Wewe bila shaka kichwani una debe tupu kwanza aliekwambia watalii wanakuja mikoa miwili tanzania ni nani, ongea kama mtu msomi so watalii wanaokwenda selous au ruaha au rubondo hao sio watalii ni maiti???😀😀😀

Sasa kwa taarifa nayokupa kamsikilize waziri wenu najib balala alichokizungumza kwa umakini sana alaf urudi nikufundishe kuhusu tanzania kwann tuliwakanyaga kwenye tourism
 
Unfortunately nearly all your GDP is owned by only 10,000 people, and you are celebrating from morning to midnight everyday that you have bigger GDP. Today you are talking different version of distribution of tourism just because Tanzania has defeated Kenya hands down on tourism. stupid Kenyans from failed state.
Kisa tanzania kuwapumulia kisogoni kwenye utalii sasa wanatafuta mbinu za kujitoa kwenye kichapo wao wanafkiri ni utalii hajui kama sector zote tunawachapa fimbo tu
 
Zanzibar is not part of tanganyika......there has been weeklong protests for independence....Hahaha.wala urojo washikilie vivyo hivyo..........

Mombasa yenyewe inahemesha Darislum kijizanzibar tupatie malindi

Zanzibar wanataka kudivorce from Danganyika,punda imechoka!

Zanzibaris challenge union with Tanzania in regional court

AFP_PIC.jpg

By AFP


Separatist campaigners of Zanzibar Island have appealed to a regional court to challenge the legality of its union with mainland Tanzania, they said Thursday.

Rashid Salum Adiy, head of the Zanzibar Rights of Freedom and Autonomy (Zarfa) organisation, a group not recognised by the Tanzanian authorities, claims to have the backing of 40,000 supporters for his appeal.

Adiy, who has organised protests in the past denouncing the union between Zanzibar and Tanzania, argues the independence-era union agreement favours the mainland at the expense of the Indian Ocean archipelago.

He has filed an appeal to the East African Court of Justice to challenge the legality of agreement.

"Based on the evidence we have, we argue that this union has no legal basis," Adiy told AFP. "It is purely political, for it does not take into account the interests of citizens."

The court, in Arusha, will hear the case on March 8.

The court was set up to rule on matters of the East African Community (EAC), the six-member bloc including Tanzania, as well as Burundi, Kenya, Rwanda, South Sudan and Uganda.

Some Zanzibari opposition parties have long wanted to break ties and return to the independence it briefly enjoyed in early 1964 before merging with Tanganyika.

The islands are already semi-autonomous, with their own elected parliament and president.

Elections in 2015 were repeated the following year after alleged irregularities. The opposition Civic United Front (CUF), which had promised to campaign for full autonomy of the islands, declared themselves the winners of the first poll, which was then annulled.

The long-ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) retained power in Zanzibar, the party of Tanzanian President John Magufuli.
 
Back
Top Bottom