mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,512
These are govt bots paid to push propaganda and mask the truth!
magu


.labda uhuru
These are govt bots paid to push propaganda and mask the truth!


.Niiice Nairobi inazidi kuvutia uekezajiView attachment 696427
Nippon Express, Japan’s largest logistics firm and third largest in the world, has officially launched a subsidiary office in Nairobi, its first in Africa.
Japan’s largest logistics firm Nippon Express opens its first Africa Office in Nairobi
Ooh poa my mistakeHakuna mbunge wa upinzani aliepigwa hadi kuuwawa mkuu, ni mwanachama wa chadema ndio ameuwawa.
Phase 2 inanukia.... Watu wa Mbagala wajiandae kustaarabika kwa kweliMambo yanazidi kupendeza
Dar mpya
![]()
Nairobi kuna biggest slums zaidi ya 10 mathare na nyingine kubwa kubwa hapo unategemea nini.?ukiondoa issue ya kuuwawa kwa albinos miaka kadhaa iliyopita na pia ukiondoa kuiita tanzania ldc, mkenya hana kitu ambacho anaweza kuizungumzia tanzania vibaya.
sio kwamba hawa muggers hawatafuti habari mbaya za tz, wanatafuta sana ila kila habari wanayoipata ni outdated. haipo kwenye trend.
sisi kila habari mbaya tunazo report kuhusu kenya, karibia zote zipo kwenye trend. mfano issues za ukora katika mitaa ya nairobi. yaani pale nairobi haipiti nusu saa bila kutokea kwa tukio la kikora.
ukiingia tu twitter uka search nairobi, lazima utakutana na bad news ya wakora kupigwa risasi na karao au raia kuuwawa na wakora.
unemployment inaipeleka kenya kubaya sana na hakuna politician anayejari. wanasiasa wao wamekalia kula rushwa, ukabila na ubinafsi.
nairobi ni gangland. ukitembelea ule mji kuwa makini sana.
umeona tofaut ya kufungua office na siemens wanataka kuinvest power plant ya 1000MW in tanzaniaView attachment 696427
Nippon Express, Japan’s largest logistics firm and third largest in the world, has officially launched a subsidiary office in Nairobi, its first in Africa.
Japan’s largest logistics firm Nippon Express opens its first Africa Office in Nairobi
shida yako ni gani?umeona tofaut ya kufungua office na siemens wanataka kuinvest power plant ya 1000MW in tanzania
![]()
Habari mbaya Tanzania zipo pia nyingi ni vile hatuna huo utoto...leo tu nimeona mahali watanzania wamehukumiwa kunyongwa kule uchina na mtanzania mwingine amekamatwa na heroin sikumbuki nchi...juzi mbunge amepigwa hadi kuuawa si ati habari hazipo zipo tena nyingi ni tuko mature tunajua kila nchi it's challenges
😀😀😀 Kwanza acha hasira

Wanamadeni mpaka kwenye makalio😀😀i have noticed that kenyans are so angry by all the negative news i share about their country.
i apologize for that and promise to never do it again.
this is the last negative news from me about kenya.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
unanishangaza maanake. hivi nikuulize, kati ya investor na infrastructure, ni gani inafaa kuja kwanza?😀😀😀 Kwanza acha hasira
Kwanza power, power ndio inazungusha dunia hii, cha kushangaza na kuskitisha munataka infastructure wakat nairobi maji hakuna kuna faida gani ya infrastructures wakat huna basic human needs😀😀😀😀😀😀unanishangaza maanake. hivi nikuulize, kati ya investor na infrastructure, ni gani inafaa kuja kwanza?
View attachment 696427
Nippon Express, Japan’s largest logistics firm and third largest in the world, has officially launched a subsidiary office in Nairobi, its first in Africa.
Japan’s largest logistics firm Nippon Express opens its first Africa Office in Nairobi
Asante kwa kunijibu swali langu ipasavyo. Hivi wewe huoni investor katoka Japan kuja kuinvest Kenya, alikuwa hajui kama kuna power au hakuna?Kwanza power, power ndio inazungusha dunia hii, cha kushangaza na kuskitisha munataka infastructure wakat nairobi maji hakuna kuna faida gani ya infrastructures wakat huna basic human needs😀😀😀😀😀😀
well in Nairobi.....more jobs coming
So more jobs are cuming? Why?well in Nairobi.....more jobs coming