Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Asante kwa kunijibu swali langu ipasavyo. Hivi wewe huoni investor katoka Japan kuja kuinvest Kenya, alikuwa hajui kama kuna power au hakuna?
Saa hii ndio unataka kuleta umeme..... umechelewa. Huko tulitoka
To open a clearance & forwarding company even a former goon could do that
 
Hehehe Kenya you are lost yaani mnadaiwa mpaka mnatia huruma Hehehe mlipozipeleka hizo pesa zote hakuna kinachoonekana njaa, unemployment, insecurity, debt, poverty bado inazidi kuwatafuna hivi peanut tower imefika wapi itakua na meters ngapi na volume?
Watakwambia GDP kubwa imepikwa mpaka imeiungua😀😀😀😀😀😀
 
Hehehe Kenya you are lost yaani mnadaiwa mpaka mnatia huruma Hehehe mlipozipeleka hizo pesa zote hakuna kinachoonekana njaa, unemployment, insecurity, debt, poverty bado inazidi kuwatafuna hivi peanut tower imefika wapi itakua na meters ngapi na volume?
Bado wanajenga kwenye makaratasi😀😀
 
Wanamadeni mpaka kwenye makalio😀😀
Alaf anakuja mpuuzi anaimba GDP imepikwa mpaka inataka kuungua
Where is Tanzania?, Kenya inadaiwa pesa nyingi sana za chakula wanachochukua kwa mkopo, au kama vipi tuwasamehe tu hawa ni jamaa zetu hali zao ni mbaya na zinazidi kuwa mbaya
 
Asante kwa kunijibu swali langu ipasavyo. Hivi wewe huoni investor katoka Japan kuja kuinvest Kenya, alikuwa hajui kama kuna power au hakuna?
Saa hii ndio unataka kuleta umeme..... umechelewa. Huko tulitoka
Huko mulitoka mumekosa umeme wa train

Akili yako ndogo sana
Kufurahia mtu kufungua
office wakat basic human needs hamuna😀😀😀😀

Power yenyewe mulionayo yakusuasua alaf unakuja kusherekea japan kufungua office hahahha😛😛😛

Nchi nne zinaekeza LPG plant in tz cost yake ni 30b usd ushaona mtanzania anakuja kusherekea
 
DWJ2rxqW0AMinOy.jpg:large
 
kibera mbagathi high school
 

Attachments

  • 27971877_1744442918954946_5210321438429814432_n.jpg
    27971877_1744442918954946_5210321438429814432_n.jpg
    97.5 KB · Views: 28
Rutos Home in Uasin gishu cpounty(Eldoret)

this is the cbd with buildings like godowns
we nyang'au hapo ni Gerezani Kamata....
Though Kamata haipo kwenye consideration ya Dar's CBD sawa budaa....

CBD ya dar ni comprises of POSTA, KISUTU, MCHAFUKOGE, MAGOGONI, UPANGA EAST

Hizo Towers (PSPF, TPA na MNF) zipo bandarini yaan kurasini ya kwanza....
 
Back
Top Bottom