Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,607
- 15,709
Estate yao ni kariakoor. Kule kila kitu hufanyika. si ajabu kuona mtu amefunga towel juu ya balcony akiongea na mama mboga hapo chini kwa street amkatie mboga za lunch! hahahathey dont hav anything outside that CBD...kila mtu anaishi hapo...kila mtu anafanya kazi hapo...kila mtu anatibiwa hapo....hawana estates hawa majamaa
