Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tazama wewe mwenyewe jinsi vile wanaijeria wanavyowadharau.haya ndio madhara ya kujipendekeza kwenye forum za watu wa nchi nyingine.

11b8ce533f1d9079d8778d27a4e1ead9.jpg
809438cab7cfd5478cf1cfe560173c9f.jpg
e0ef59e1060f9de06bf373b6b3bb4ed7.jpg
6895bd6274dd600105993eb5c3ea2d2f.jpg
6dbb6b8a9bea5144a1c8147fa9493188.jpg
Tuwekee estates dar acha pere pere nyingi
 
we have no any interest with nigerians.apart from their music,i see nothing productive tanzanians can gain from them.so there is no loss if they don't know our country.

tabia za kujipendekeza kwa nchi za watu tumewaachia nyinyi wakenya. ndio maana wanaija wanawadharau na kuwatusi nairaland.
nyuzi zote hizo zimeanzishwa na Wanaija wakisifia Kenya. ugua taratibu tu. hakuna namna ingine
 

ifikie hatua ujitambue sasa,hivi unafikiri kenya inapata faida gani ikijulikana na nigeria???

hii tabia ya kujipitisha pitisha wakenya ipo damuni,mna vihere here sana nyinyi.mmeathirika sasa mpaka kujiaminisha kwamba kila kizuri kinapatika kwa wazungu na kenya tu,the best shit of bla bla.she super f*ck sjui what and so..ili iweje.

juzi simba dume wampigwa picha waki sex kenya,mlivyo mapopoma mkaona hewalaaaa hii nayo ni headline wacha twende nayo media.

unataka tutajwe na nigeria kwa biashara gani!!!???hao wapopo mnaendana akili ndio maana nao ni kelele nyingi na kujisikia.
 
nyuzi zote hizo zimeanzishwa na Wanaija wakisifia Kenya. ugua taratibu tu. hakuna namna ingine
ni kweli wanawasifia ila kwa kuwatusi na kuwadharau.

hongereni kwa kutukanwa na mabwana zenyu wanaijeria.
 
ifikie hatua ujitambue sasa,hivi unafikiri kenya inapata faida gani ikijulikana na nigeria???

hii tabia ya kujipitisha pitisha wakenya ipo damuni,mna vihere here sana nyinyi.mmeathirika sasa mpaka kujiaminisha kwamba kila kizuri kinapatika kwa wazungu na kenya tu,the best shit of bla bla.she super f*ck sjui what and so..ili iweje.

juzi simba dume wampigwa picha waki sex kenya,mlivyo mapopoma mkaona hewalaaaa hii nayo ni headline wacha twende nayo media.

unataka tutajwe na nigeria kwa biashara gani!!!???hao wapopo mnaendana akili ndio maana nao ni kelele nyingi na kujisikia.
 
ifikie hatua ujitambue sasa,hivi unafikiri kenya inapata faida gani ikijulikana na nigeria???

hii tabia ya kujipitisha pitisha wakenya ipo damuni,mna vihere here sana nyinyi.mmeathirika sasa mpaka kujiaminisha kwamba kila kizuri kinapatika kwa wazungu na kenya tu,the best shit of bla bla.she super f*ck sjui what and so..ili iweje.

juzi simba dume wampigwa picha waki sex kenya,mlivyo mapopoma mkaona hewalaaaa hii nayo ni headline wacha twende nayo media.

unataka tutajwe na nigeria kwa biashara gani!!!???hao wapopo mnaendana akili ndio maana nao ni kelele nyingi na kujisikia.
tunafanyia marketting nchi yetu ili tuweze kuvutia watalii. na hii tumeifanya kwa miaka mingi sana. huwezi kulinganisha Kenya na Tz kwa upande wa vivutio vya kitalii. Tz imebarikiwa si haba. nyinyi mukilala sisi tutaendelea kusema Kilimanjaro, Olduvai Gorge na Ngorongoro Crater ziko Kenya.
 
mjinga mwingine amekimbia nairaland kutafta comments zinazohusu Kenya ili alete hapa😀😀😀😀huwa nashangazwa sana na hawa bongolala...mtu mzima mbona kajikosa heshima hivi...jamaa nina uhakika ana miaka karibu 40 ila akili za teenager😀😀😀
 
mjinga mwingine amekimbia nairaland kutafta comments zinazohusu Kenya ili alete hapa😀😀😀😀huwa nashangazwa sana na hawa bongolala...mtu mzima mbona kajikosa heshima hivi...jamaa nina uhakika ana miaka karibu 40 ila akili za teenager😀😀😀
kwa zile movie zao za kibongo huwa naskia mtu mwenye hana akili anaitwa ''mtu-mzima-ovyo'' huyo ndiye Kidonda11
 
we have no any interest with nigerians.apart from their music,i see nothing productive tanzanians can gain from them.so there is no loss if they don't know our country.

tabia za kujipendekeza kwa nchi za watu tumewaachia nyinyi wakenya. ndio maana wanaija wanawadharau na kuwatusi nairaland.
jamaa sasa unawaabudu wa nigeria...SMH😀😀😀😀LDC ni LDC tu
 
kwa zile movie zao za kibongo huwa naskia mtu mwenye hana akili anaitwa ''mtu-mzima-ovyo'' huyo ndiye Kidonda11
huyo jamaa ana miaka karibia 40 lakini akili zak kama za mtoto wa nursery😀😀😀😀 yaani mtu mzima anaenda kwa Nairaland search box anaandika keywords (Kenya)😀kwani wanigeria watatupeleka wapi?
 
tunafanyia marketting nchi yetu ili tuweze kuvutia watalii. na hii tumeifanya kwa miaka mingi sana. huwezi kulinganisha Kenya na Tz kwa upande wa vivutio vya kitalii. Tz imebarikiwa si haba. nyinyi mukilala sisi tutaendelea kusema Kilimanjaro, Olduvai Gorge na Ngorongoro Crater ziko Kenya.
Kizuri chajiuza ila kibaya lazima kitumie nguvu nyingi sana ili kionekane kizuri nchi ya kenya ni sawa sawa na kupaka rangi taka kwa nnje ili ionekane safi na inapendeza angali ndani imeshaoza na inanuka harufu chafu....

Matokeo yake day afta day matokeo yanabainika
 
mjinga mwingine amekimbia nairaland kutafta comments zinazohusu Kenya ili alete hapa😀😀😀😀huwa nashangazwa sana na hawa bongolala...mtu mzima mbona kajikosa heshima hivi...jamaa nina uhakika ana miaka karibu 40 ila akili za teenager😀😀😀
Haujafa tu
 
Back
Top Bottom