Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haya hii ni dar tuelezee ni slum si slum?
6237a94a316d22e295b634237d51be43.jpg
Haya tuambie hapo ni maeneo gani dar???
Usilete picha za sehemu zingine ukasingizia dar sasa tueleze hapo ni wapi dar?????😀😀😀
 
Haya tuambie hapo ni maeneo gani dar???
Usilete picha za sehemu zingine ukasingizia dar sasa tueleze hapo ni wapi dar?????😀😀😀
Amechanganyikiwa huyo, anagusa kila sehemu anakuta ni moto tu, Tanzania hoyeeeee
 
😀😀😀😀😀 dunia nzima haitambui kama dar kuna slums wanaitambua kenya sasa wanataka kuficha aibu kutafuta maeneo hayahusiani na dar walazmishe iwe dar
Kwa ufupi hawana maeneo mengi ya kuishambulia Tanzania, ukiona watu wanashikilia ombaomba kama ni issue ujue wameishiwa hao.
 
Kwa ufupi hawana maeneo mengi ya kuishambulia Tanzania, ukiona watu wanashikilia ombaomba kama ni issue ujue wameishiwa hao.
naona siku hizi ule wimbo wao wa "tz ni ldc" umeanza kuchuja.

ila mimi napenda waendelee kuimba, wakija kushtuka itakuwa ni too late.

tz ya magufuli mambo ni fire...tupo katika speed ya jet kuyafikia maendeleo. hapa kazi tu.
 
Watanzania mna shida kubwa !
Mnayafuatilia sana mambo ya Kenya ilhali sisi haja hatuna kwa yale yafanyikayo Tz.
Tz uzi huu vile mlivyo jaa
Magazeti,runinga na mitandao ya kenyo mpo
Mwanusianusia kila uchao ni yepi yaliyomo Kenya na kwa hakika,ule wimbo wenu wa tuta,tutu bado mtauimba,
FYI its only South Africa,Nigeria na Kenya zenye ni nchi za kusema Africa nzima,usemi tunao,ushawishi tunao,nchi Limbukeni kama Tanzania nani anayeijua ? Hamna !
emoji122.png
emoji122.png
emoji122.png
emoji122.png
emoji122.png
emoji122.png
 
naona siku hizi ule wimbo wao wa "tz ni ldc" umeanza kuchuja.

ila mimi napenda waendelee kuimba, wakija kushtuka itakuwa ni too late.

tz ya magufuli mambo ni fire...tupo katika speed ya jet kuyafikia maendeleo. hapa kazi tu.
tz ni LDC...ama ni siri?😀😀😀
 
Back
Top Bottom