joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Mimi nipo hapa Kibera nimetembelea human zoo, huu ni sehemu ya utalii wa ndani hapa NairobiTupo busy pale South Korea tukimshangilia mwanadada Mkenya akishiriki Winter Olympics.

Mimi nipo hapa Kibera nimetembelea human zoo, huu ni sehemu ya utalii wa ndani hapa NairobiTupo busy pale South Korea tukimshangilia mwanadada Mkenya akishiriki Winter Olympics.

Izo ni PPP.Kenya wana $1400 wanajiita nao vinara duuh ni maajabu,tupambane sana
Vipi kuhus Kenya kuwa miongoni mwa failed states, hiyo si pia inasaidia kuifanya Kenya ijulikane?pia world volleyball tunaenda kuuza sura ya africa,
JINA ya kenya inajulikana dunia mzima tukianza na Talent...
kenya inapeperusha bendera ya Africa south Korea sahiiii....winter olympics
next week Kenya na SA zitatua las vegas,US kuwakilisha africa too,
worldcup ya 7s si mbali pia ,tutawakilisha,
commonwealth games tutauza sura ya africa pia...
hongereni kwa hilo.pia world volleyball tunaenda kuuza sura ya africa,
JINA ya kenya inajulikana dunia mzima tukianza na Talent...

Acha kuidhalilisha Africa kenya ni failed state so kwanini iwe moja ya nchi zinazoendesha Africa labda kwa rushwa na ukabilaAfrica ni nchi 5 tu...Nigeria, Egypt, SA, Morocco na Kenya....wengine wote flower girls...😀😀😀end this battle now
Kenya hospital kama hii haiwezi kuwa ya serikari lazima iwe ya wazunguThis is what we call Human Development
![]()
![]()
![]()
3500 hamujafika kijanaIzo ni PPP.
ya kenya ni 3500
Haha ni nchi nyingi zinashiriki wala hatuzijui...sasa Korogocho yenu hu care ipo au haipo...endelea kuamini ivyo itakusaidia kuondoa mawazopia world volleyball tunaenda kuuza sura ya africa,
JINA ya kenya inajulikana dunia mzima tukianza na Talent...
Kibakuli chako kimejaa Kshs naona na usisahau kurudi na ombaomba wenzako.Mimi nipo hapa Kibera nimetembelea human zoo, huu ni sehemu ya utalii wa ndani hapa Nairobi![]()
![]()
kilaza endelea kutukana.Kibakuli chako kimejaa Kshs naona na usisahau kurudi na ombaomba wenzako.

Mimi nipo hapa Kibera nimetembelea human zoo, huu ni sehemu ya utalii wa ndani hapa Nairobi![]()
![]()

Kenya wana $1400 wanajiita nao vinara duuh ni maajabu,tupambane sana
Ni simple fact na unataka kubisha hadi hio....mwenyewe unakumbuka trump alipoingia madarakani na kuanza kuwapigia simu marais mbali mbali wa dunia, kwenye nchi za Africa aliwapigia tu marais wa S South Africa, Nigeria, Egypt na Kenya..the only countries that matter in AfricaAcha kuidhalilisha Africa kenya ni failed state so kwanini iwe moja ya nchi zinazoendesha Africa labda kwa rushwa na ukabila
And this is not a render??watanzania akili zenyu mwazifahamu wenyewedar es salaam view in few years to come.
this is going to be our lovely view that we will taking from the south-east side of indian ocean.we are heading there, God willing. say Amen or inshallah.
![]()
Kenya ranked as 'failed state'Kibakuli chako kimejaa Kshs naona na usisahau kurudi na ombaomba wenzako.

Kwa kuwaabudu wamarekani, ninyi ni kiboko, ndiyo sababu wanaume wengi wa Kenya wanaolewa huko USA, sasa kwa Trump kumpigia simu Uhuru ndiyo kigezo cha ninyi kutoka katika kundi la failed states?Ni simple fact na unataka kubisha hadi hio....mwenyewe unakumbuka trump alipoingia madarakani na kuanza kuwapigia simu marais mbali mbali wa dunia, kwenye nchi za Africa aliwapigia tu marais wa S South Africa, Nigeria, Egypt na Kenya..the only countries that matter in Africa
acha kukurupuka.And this is not a render??watanzania akili zenyu mwazifahamu wenyewe
