asante sana kwa kukubali.ziko nyuma huko page za mwanzoni.
kaongea point hazina kichwa wala mguu ndio maana nimempuuza 😀😀😀😀 nonsensemuhimu katika pointi yangu ni joto....weather la Dar ni mbaya sana....
Nai hata huwzi ukaiweka yote kwenye picha moja brathe...kisha Nai kuna estates na CBDs...sio kila mtu amejiksuanya pale CBD kama viberiti😀😀😀haijulikani kama ni CBD ama ni estate...wote wapo pale
nairobi 57😀😀😀😀 haya tutajie tuskie moja baada ya mojaasante sana kwa kujubali.
dar is slum above 20flrs = 13
Nairobi above 20flrs = 57
asante sana kwa kukubali.
dar is slum above 20flrs = 13
Nairobi above 20flrs = 57

hata ng'ombe za kollo zinakushangaa.wacha atutajie nimkamue makende sasahivi😀😀jitekenye mpaka uridhikehata ng'ombe za kollo zinakushangaa.
Pia mwambie the longest trees in Africa are found in Tanzaniahehe so unataka kujifananisha na mt kilimanjaro??
be serious bro the world free standing mountain, ngorongoro crater the biggest crater in the world😀😀
selous game reserve the biggest faunal reserve in the world, na inasemekana selous inasimba wengi zaidi africa, kitulo national park ina maua yakipekee duniani hakuna sehemu nyingine utapata, usijifananishe na tanzania utaumia bure
ugua pole ndugu.nairobi 57😀😀😀😀 haya tutajie tuskie moja baada ya moja
achana nae huyo mpuuzi kazidiwa kete anatafuta pakutokea😀😀😀😀Pia mwambie the longest trees in Africa are found in TanzaniaView attachment 693615
tutajie sasa ushaanza kuogopa sasa😀😀😀ugua pole ndugu.
huo ndio ukweli wa mambo
ukubali au ukatae ni shauri yako
Usi panic ndugu, infacy Dubai is not that hot, the hottest it gets ni 36 degrees na in January its winter for them, today Dubai ipo hadi 21 degree na lowest kabisa ni 15 degrees that's the factor.Unaiyongeleaje Dubai na Oman kuhusu swala la joto?? Hauna point hapo. Just shut up
sasa mimi ndio nikuletee list ya over 20flrs in dar is slum??? huenda hata zisifike kumi maana huko hadi Malls pia munaweka kwenye listjitekenye mpaka uridhikehata ng'ombe za kollo zinakushangaa.
embu taja hapa hizo 13
maumivu yakizidi muone daktaritutajie sasa ushaanza kuogopa sasa😀😀😀
tunaijua nairobi nje ndani sasa tutajie tukuumbue
endelea kuongea upuuzi😀😀😀😀Usi panic ndugu, infacy Dubai is not that hot, the hottest it gets ni 36 degrees na in January its winter for them, today Dubai ipo hadi 21 degree na lowest kabisa ni 15 degrees that's the factor.
Dubai wako na mafuta, sasa tunashindana nao vipi? Kuhusu Oman na nchi zingine kuendelea sio lazima kila nchi iliendelea iwe na foreign investors, nyingine zina endelezwa na wanachi wenyewe, mfano hata Kenya inapata maendeleo yake from Tanzania pia kwasababu they have maby industries there na wana export na sisi tuna consume, kwa kunazia tu Tanzania haina viwanda vingi kama Kenya so thats one of fhe reasons why Kenya inaendelea mbele.
Kwahiyo usisubiri baridi ili upate investors ili utajirike, sio kila kitu ni black and white some are actuay grey, sio kila nchi imeendelea kwa kuwa na foreign investors.
And another one bites the dust. Daaah. If mimi mwanadamu tu napata tabu na watu wawili au mmoja, what about God who has to judge all of us. Mungu ana kazi kubwa sana kwa kweli.kwahiyo elimu yako wewe sasa imekusaidia kuto tofautisha asili ya eneo na vitu vilivyojengwa?? auhujagundua jamaa ameshangaa nini??
basi useme nai kuna baridi na dar hakuna baridi.
hehehe hakuna dawa tamu , dawa ni mbaya na chungu tu😀😀😀😀😀😀maumivu yakizidi muone daktari
wewe mtanzania ??? tuanzie hapoAnd another one bites the dust. Daaah. If mimi mwanadamu tu napata tabu na watu wawili au mmoja, what about God who has to judge all of us. Mungu ana kazi kubwa sana kwa kweli.
You see. Exactly what am talking about. Haya bwana, wacha ninyamaze maana hakuna namna.We kijana unamaajabu mno, ndio umekuja kutuelekeza what battle is all about okay we got you,
Unaleta ujinga wakiandika insha zilizojaa pumba tu,get lost!!
sasa mimi ndio nikuletee list ya over 20flrs in dar is slum??? huenda hata zisifike kumi maana huko hadi Malls pia munaweka kwenye list

buda kwani ni kushindana???mimi nimekubali hakuna hata moja nai zipo 200 abv 20fl.nitajie hata hizo 13 za dar unazozijua.