mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,781
- 6,481
Hamna picha kama hizo labda za one street city of Dar is slum.Picha kadoda kazituma mara kibao unataka nn ww??
Hamna picha kama hizo labda za one street city of Dar is slum.Picha kadoda kazituma mara kibao unataka nn ww??
Kizuri kitaftie kasoro...najua zimekuingia vilivyo...iyo ndio Dar ambayo mnajifanya amuioniTz hamna nyingine wacha hiyo uliweka hapa 2017
Yapo mengi mara kibao kupita ya kwenu bt tumeyachunia ili tumalizane na gas yetu ambayo bado tunajenga vituo vyake ili ifunction in its full capacity baada ya hapo ndio tutahamia kwa mafuta yetu ziwa nyasa kulee..si hatukurupuki tunaenda one step at another hatuna haraka ankoNyinyi mna mafuta?
Iite Nairobi a well planned city.Sasa Dar kama one street Nai tuiiteje?
Nnawaswas na elimu yako
Jipe shughuliIite Nairobi a well planned city.
Dimwit tazara is 4 lanes flyover!!Outering is 8 lane and elevated i wonder how some morons celebrate 2 lane flyover......
Aliyekuambia zetu ni za mita kumi ni nani? Thika road peke yake ni 40 kilometres na Waiyaki Way nayo ni 50 kilometres wewe unaongea mambo ya 20 kilometres! Hakuna kitu Dar inazidi Nairobi isipokuwa ya brt.Sometime u act smart but end up dumb. Those are at least 20km dual carriageway.
Ikowapi mkandarasi ni nani??sawa wacha tuziite daraja basi ila flyover zipo pia na kuna hio ya JKIA mpaka Rironi ambayo ni 50Km...tunaiita express highway
74 kilometers?? Quite ambitious.sisi pia tuko na plan yakujenga brïdge kutoka Dar hadi Zanzibar
15 floors! yani unajigamba na zakayo hapa ndani? You can do better kijanaPalm village 15 Flr ×4 Mikocheni
Lazima mtavua tu izo chupi
![]()
Kala ban babaDaah wap colloh mzee wa eldoret![]()
Wakati mnaringa na 4 lane sisi tuko na 8 lane na hata hatuongei. Mnatia aibu sanaDimwit tazara is 4 lanes flyover!!
Manhattan island NewYorkUkisema neno cbd ndio inafanana ivo au zaidi and never less...
![]()
Dar es salaamNimezitembelea sana N4, N12 hapo Johannesburg na Pretoria.Safi sana huo mzigo...
ila Africa ya kusini wanamizigo mob kama Iyo
![]()
![]()
![]()
Tujifunze Kwa waafrica wenzetu
Laughable....mwenzio anasema ya 50km ndio inajengwa!Aliyekuambia zetu ni za mita kumi ni nani? Thika road peke yake ni 40 kilometres na Waiyaki Way nayo ni 50 kilometres wewe unaongea mambo ya 20 kilometres! Hakuna kitu Dar inazidi Nairobi isipokuwa ya brt.