Haha wacha nicheke tu,nimegundua kua hamna ata serious flyover Ata moja...sasa mnaanza catch mkiona tumekua serious kwenye ujenzi na kwa taarifa yenu Ubungo interchange and tazara ni mwanzo tu...BRT pekee haitoshi kuwamaliza tumeanza na highway ambayo ni 100 km. ..Nyie Ni wetu tu lazima mshike adabuLaughable....mwenzio anasema ya 50km ndio inajengwa!
If you want to compare it has to be from the same source... Ulienda shule wapi?Kenya only 5% of population qualifies as middle class, which is about 2.25M. http://allafrica.com/stories/201509220924.html
Nairobi hakuna flyovers ni barabara zilizojazwa udongo kupita kiasi zikashikizwa na matofali ili zisiporomoke (no concrete pillars) na vispot vidogo vidogo vya madaraja, huu ndio ukweli mchungusawa wacha tuziite daraja basi ila flyover zipo pia na kuna hio ya JKIA mpaka Rironi ambayo ni 50Km...tunaiita express highway
Ipi? Nashangaa hadi leo bado Hamna flyover ,natoa marks kwenye thika highway ,Mmejenga vidaraja vya meter 20 ndio mkahisi mmemaliza??BRT ambayo Hamna mwaka huu tunaendelea phase 2...manake barabara zote ambazo BRT itapita lazima zipate flyover ...mnatia huruma sana....Wakati mnaringa na 4 lane sisi tuko na 8 lane na hata hatuongei. Mnatia aibu sana
Yeah iyo spaghett junction nadhan iko Pretoria. ...Niligundua sa upande wa barabara wamezidi nchi nyingi za ulaya ya magharibiNimezitembelea sana N4, N12 hapo Johannesburg na Pretoria.
Wakenya waaache kuonesha vituko hapa
Boss the Real Spaghetti Junction iko Birmingham Uk. Google that, inapita magari,treni na boats.Yeah iyo spaghett junction nadhan iko Pretoria. ...Niligundua sa upande wa barabara wamezidi nchi nyingi za ulaya ya magharibi
Hehehe those are your fellow KenyansArrest and deport them home to Tanzania to be rehabilitated!
Iyo ni super kabisa nadhanBoss the Real Spaghetti Junction iko Birmingham Uk. Google that, inapita magari,treni na boats.
sumu kwa mkenya hio😀😀😀😀Nimependa hiki kipande.. Wakenya Hilo Bomba lenu la Mafuta mtasubiri miaka 1000000
![]()
built in the 70s...nairobi
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nilikuwa najiuliza wanashindwa nini kujenga hivi siku zote? Wakimaliza hapo wahamie coco beach, jamaa wako slow but suremagufuli kiboko
fukwe za dar na zanzibar zinajengwa vzr sana
😀😀😀😀😀😀😀😀😀
View attachment 692734 View attachment 692735
Ulifaa uelewe ziko wap,Mikocheni ni tofaut na kule k'nyama, Upanga ,Posta, Kkoo Au maeneo mengine makubwa ya jiji15 floors! yani unajigamba na zakayo hapa ndani? You can do better kijana
tutafika tu bro 😀😀😀😀Nilikuwa najiuliza wanashindwa nini kujenga hivi siku zote? Wakimaliza hapo wahamie coco beach, jamaa wako slow but sure