Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatzo lenu mnapenda kutumia ukenya kufanya makosa kila forum ina sheria zake...haliwezi futwa section nzima kisa mjinga mmoja wakati wapo wastaarabu kibao ...hata mtz akija na pombe zake na matusi yake anakula ban vizur tena nyie msiseme maana moderators wanawakaushia sana na matusi yenu idiots

Afu wewe wafanya nini? si watumia matusi?. kwenye msafara wa mamba kenge wamo.
 
crime doesn't pay....kukosa kwenyu ajira isiwe excuse ya kufanya ukora. copper inawahusu.
77d7e7f095dd4c7869d32993d8fa9d91.jpg
 
By virtue of having a bigger area in square kilometers, Dar definitely has more roads. unfortunately, dar roads are in pathetic condition hadi hata mnaogopa kuzionesha hapa. The point is that Nairobi has superior roads compared to your capital.
Dar ina barabara kubwa nne hizo nne ni Dual Carriageway. Nazo ni Mandela Road(Sam Nujoma),Nyerere(Bibi Titi,Ali Mwinyi), Morogoro Road,Kawawa Road.
Fupi hapo ni Kawawa ina kama 10km hivi, hio Nyerere ina kama 40km(airport to tegeta),Morogoro road ina kama 20km na Mandela nayo kama 20km hivi. Hizi dual carriageway ndio zinakufikisha popote utakapo around Dar.
 
Mi nnavyofaham et Hamna mvua mwaka Wa 7 huu kweli au?
aliyekudanganya mvua hakuna miaka 7 ni nani?...shida kubwa ni population explosion plus mvua ambayo si ya kutosha kujaza dam zinazoleta maji jijini...weather ya Nairobi na Addis Ababa huwezi fananisha na mji wowote Africa...hakuna joto kali Nairobi hata kuwe na ukame...by the way, one of the reasons why Tanzania is behind in terms of development may be your choice to make Dar, a hot, coastal city, your capital city....juzi tu ndio mumeamua kuhamisha Dodoma...the truth is, hot cities promote laziness and slow economic growth...
this is late last year in Nairobi...it even caused floods...Long rains are expcted to start in March 2018...hii mvua itamaliza hio water shortage unaskia
petersize10_qz-article_web-12-e1508841039512.jpg
women-caught-in-the-rain-in-nairobis-cbd.jpg
pedestrians-running-in-the-rain-in-downtown-nairobi.jpg

A Nairobi photographer captures the “beauty in the mayhem” of Kenya’s rainy season
 
aliyekudanganya mvua hakuna miaka 7 ni nani?...shida kubwa ni population explosion plus mvua ambayo si ya kutosha kujaza dam zinazoleta maji jijini...weather ya Nairobi na Addis Ababa huwezi fananisha na mji wowote Africa...hakuna joto kali Nairobi hata kuwe na ukame...by the way, one of the reasons why Tanzania is behind in terms of development may be your choice to make Dar, a hot, coastal city, your capital city....juzi tu ndio mumeamua kuhamisha Dodoma...the truth is, hot cities promote laziness and slow economic growth...
this is late last year in Nairobi...it even caused floods...Long rains are expcted to start in March 2018...hii mvua itamaliza hio water shortage unaskia
petersize10_qz-article_web-12-e1508841039512.jpg
women-caught-in-the-rain-in-nairobis-cbd.jpg
pedestrians-running-in-the-rain-in-downtown-nairobi.jpg

A Nairobi photographer captures the “beauty in the mayhem” of Kenya’s rainy season
Mbona Dodoma ni kavu na inapata mvua chache sana lakini kuna maji ya Kutosha mwaka mzima. Au wilayani Nairobbery hamna technology ya kutafuta maji
 
Back
Top Bottom