RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,874
- 129,878
Hii picha ndio inavyotakiwa barabara zijengwe.
Hii picha ndio inavyotakiwa barabara zijengwe.
Kuna umuhimu wakuacha kuwapatia wachina contract za ujenzi. Wanatujengea vitu vya ajabu. Bora mjapan. Utasema imejengwa 60s
Tuĺia sindano ikuingie. Hi ni news ya leowait...what is this obsession with flyovers in tz?😀😀😀😀aren't these things even in Sonalia?😀😀😀flyover (barabara iliyoinuliwa juu ya barabara ingine) ni kitu ya kujigamba nayo kweli?...flyovers are overpasses
flyover sio kitu ya kujigamba nayo...this is third world mentality...ndio maana waafrika tuko nyuma tu...first world wanafikiri mambo kama health insurance na universal salary sisi hapa tunajigamba na flyover....fikiria mchina, mwafrika kusini ama mfaransa akijigamba na flyover😀😀😀😀 wakati mwingine inafaa tujaribu tuwaige hawa jamaa haswa katika maendeleo...Tuĺia sindano ikuingie. Hi ni news ya leoView attachment 692515
you should see what the Japanese have don to Ngong Rd...I think we should award tenders to Japan instead of China...
We nae unalia sana😀😀😀😀😀flyover sio kitu ya kujigamba nayo...this is third world mentality...ndio maana waafrika tuko nyuma tu...fikiria mwafrika kusini ama mfaransa akijigamba na flyover😀😀😀😀 wakatio mwingine inafaa tujaribu tuwaige hawa jamaa kwa mambo mengine...
i think even you know I am right...look, its great that you are building those things but it is embarrassing kujigamba gamba kana kwamba hivi ni vitu ambavyo havipo duniani...third world mentality😀😀😀 hivi vitu vipo kila mahali Nairobi ndio maana nashangaa sanaWe nae unalia sana😀😀😀😀😀
The high-speed expressway will be one of the most important new pieces of infrastructure in the East African Community. It will have four lanes and 19 interchanges. The expressway will become a toll road and will provide a faster transit to support growth and industry.
DuuNie wezi wa vyuma vya reli mpya ya SGR ndo muwe kama Israelites?? Wakikuyu nawapa middle fingure cause mnaongoza kwakila kitu kibaya. Angalieni wakikuyu walioshikwa wana iba vyuma vya SGR. Baba na watoto wake wote wezi. Wakikuyu nikama ukoo wa panya.View attachment 692062 View attachment 692063 View attachment 692064 View attachment 692065 .
Kenyans on the FleekMbona huwa mnazirudia picha hizi hizi??
Check online Karen hills Nairobi..Where is this place????
thread ni kubwa....mtu mmoja akipost picha flani jioni pengine hana habari mtu mwingine alishaipost asubuhi...I think thats common sense brathe...ama unataka kusema hakuna picha hata moja ya toka kwa wenzako imerudiwa hapa hata kama ni mara mbili tu? common sense is very commonMbona huwa mnazirudia picha hizi hizi??
Poa poa jirani karibu Dar, wiki hii hakuna jua kali.thread ni kubwa....mtu mmoja akipost picha flani jioni pengine hana habari mtu mwingine alishaipost asubuhi...I think thats common sense brathe...ama unataka kusema hakuna picha hata moja ya toka kwa wenzako imerudiwa hapa hata kama ni mara mbili tu?
Tanzanians always planning...
asante...kwanza mi napenda weather baridi baridi vile kwani huwa na sweat sana...inabidi nitumie AC nyumbani hata hapa Nairobi kwa baridi...ila naja subiriPoa poa jirani karibu Dar, wiki hii hakuna jua kali.