Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kazi yenu ni kublock wakenya hapa kwani....
kama hamtaki wakenya hapa ondoeni kenyan section basi haraka
wakenya wako hapa juu ni section waliotengewa...
Ni bora muiondoe then tutoke wote.
hakuna anayependa wakenya wawe blocked....this thread wouldn't be active/popular if it wasnt for the participation of kenyans.

tatizo lenu ni lugha chafu na matusi hasa pale mjadala unapokuwa umewazidi nguvu. huwa mna-comment kwa emotions sana na kushindwa kuzuia jazba.

policy za jf zipo wazi...jf doesn't entertain abusive language.

collo ni mmoja ya wakenya wenye lugha chafu sana akifatiwa na yule kijana wa kimombasa. binafsi nimewaonya sana lakini hawakuwahi kunisikia.
 
IMG-20180207-WA0003.jpg
Fire fire
 
latest video about the progress of our sgr is now available on youtube.

this video was published/uploaded today(7/02/2018). so i'm asking all kenyans to watch it.
tz sgr is hapa kazi tu.
ac649de005f711a343a9daec94a34ff6.jpg

sasa we unatuonesha ujenzi wakati sie tumeshachoka na reli kwa kuitumia mara kwa mara...
 
Kazi yenu ni kublock wakenya hapa kwani....
kama hamtaki wakenya hapa ondoeni kenyan section basi haraka
wakenya wako hapa juu ni section waliotengewa...
Ni bora muiondoe then tutoke wote.
Tatzo lenu mnapenda kutumia ukenya kufanya makosa kila forum ina sheria zake...haliwezi futwa section nzima kisa mjinga mmoja wakati wapo wastaarabu kibao ...hata mtz akija na pombe zake na matusi yake anakula ban vizur tena nyie msiseme maana moderators wanawakaushia sana na matusi yenu idiots
 
Back
Top Bottom