Without Forgetting [HASHTAG]#KIBERA[/HASHTAG] estateThis is part of eastlands area in Nairobi. I can see parts of Buru Buru estate, Donholm estate, Umoja Innercore, Umoja 1 and Umoja 2 estates. One can cleaely see how well-planned these estates are though they are in the eastlands part of Nairobi. Ask a Tanzanian to show you esrial views of Dar estates like the one above, utangoja sana. To them, Nairobi is Kibera and Kibera is Nairobi View attachment 691820
mimi ndio nilifanya wanjala awe anaingia jf kwa kujificha....ilikuwa ni zile post za azam tv.kuna wakati tulipelekeshana sana kuhusu azam tv.Collo unanyamazishwa kinyonge kama Wanjala budaaaaa![]()
![]()

acha waendelee ku-twerk jirani na shimo la choo....waswahili husema aliyelala usimwamshe.Mafakhari wawili zizi moja
View attachment 691828
Kweli kadoda ulikua unamkomalia Wanjala ukamwandikia na memo ukaipiga pichamimi ndio nilifanya wanjala awe anaingia jf kwa kujificha....ilikuwa ni zile post za azam tv.kuna wakati tulipelekeshana sana kuhusu azam tv.
wanjala ni mmoja ya wakenya wanaoichukia sana azam tv. sijui ilimkosea nini.pia ni mmoja ya wale wakenya wanao underestimate sana bidhaa za tz.
azam tv ilipopata kandarasi ya kuonyesha cecafa nchini kenya mwaka 2017, wanjala alipigwa na butwaa asiaminini kile alichokiona.
kwa kulitambua hilo nikawa nam-bully na kumtag post zangu zote kuhusu uhusika wa azam tv katika cecafa.
tangia hapo ndio akapotea mazima ili kuficha aibu...siku hizi huwa anagia jf kwa kujificha.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nao hawa watakimbia sooninaonekana mtandao ulionyuma ya biashara hii haramu ni mtandao hatari sana,hata mtandao wa mafia wa madawa ya kulevya una nafuu.AMANI ni kitu muhimu sama
View attachment 691824
Icho usifikiri unakomesha tu wakenyaView attachment 691772
Macbook pro 2017 touch bar
Ipad Air 2
Iwatch series 3
Iphone x
View attachment 691774


we jamaa sioIchoboy naomba uniazime hiyo saa nataka nikachumbie kibera nasikia nikienda nayo huko nitapewa mtu na mama yake together!View attachment 691772
Macbook pro 2017 touch bar
Ipad Air 2
Iwatch series 3
Iphone x
View attachment 691774

Bro we pitia muda wowote wala usijl😀😀Ichoboy naomba uniazime hiyo saa nataka nikachumbie kibera nasikia nikienda nayo huko nitapewa mtu na mama yake together!![]()
![]()
😀😀😀😀 Kawaida tu broIcho usifikiri unakomesha tu wakenyawe jamaa sio
icho utafanya "muggers" waanze kutoa mapovu....wataacha ku-discuss issues badala yake watahamia ku-discuss personalities na kufanya character assassination.

Ukute kaingia na Id mpya ya mwaswastmimi ndio nilifanya wanjala awe anaingia jf kwa kujificha....ilikuwa ni zile post za azam tv.kuna wakati tulipelekeshana sana kuhusu azam tv.
wanjala ni mmoja ya wakenya wanaoichukia sana azam tv. sijui ilimkosea nini.pia ni mmoja ya wale wakenya wanao underestimate sana bidhaa za tz.
azam tv ilipopata kandarasi ya kuonyesha cecafa nchini kenya mwaka 2017, wanjala alipigwa na butwaa asiaminini kile alichokiona.
kwa kulitambua hilo nikawa nam-bully na kumtag post zangu zote kuhusu uhusika wa azam tv katika cecafa.
tangia hapo ndio akapotea mazima ili kuficha aibu...siku hizi huwa anagia jf kwa kujificha.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

😀😀😀😀😀😀😀😀icho utafanya "muggers" waanze kutoa mapovu....wataacha ku-discuss issues badala yake watahamia ku-discuss personalities na kufanya character assassination.
please usiwaonyeshe vitu vizuri kama hivyo...hawatataka kukubari kwamba umewazidi kipato.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kimpango wake... aibu yake mwenyewe.ila nilimnyorosha mbaya.Ukute kaingia na Id mpya ya mwaswast![]()
![]()

Haya basi mi sitaki ujaluo nipo ofisini kwangu nimetuliaujaluo utakuua
Ndo maana nikasema kwamba to you danganyikans, Nairobi is kibera. hivyo ndivyo mitaa za Nairobi hufanana ukitoka nje ya slums. Wewe leta picha ya dar estates kama hiyo. I can bet my last penny kwamba utaleta picha za unplanned settlements aka slumsWithout Forgetting [HASHTAG]#KIBERA[/HASHTAG] estate