kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
acha aendelee kuimba wimbo wa ldc...usimzuie.Naona umeshikiwa kichwa na mzungu,sasa 70% ya watu million 50 ni 12M? Ujinga ni real kwako!!
quote vitu venye sense acha blablah


dar es salaam belle ville.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Thanks for render bro as usual😀😀😀Ujenzi wa tallest luxury apartments in Africa unaanza April 2018, Upperhill Nairobi...Jengo lenyewe linajengwa karibu na Prism Tower na linatarajiwa kukamilika mid-2020...majengo mapya ambayo yanajengwa kwa sasa kwanzia urefu wa 140 metres kuenda juu sasa ni zaidi ya 7...Pinnacle, ambayo itakuwa ndio refu kabisa Kenya na Africa itakuwa na urefu wa 300 metres na 200 metres ...Jengo refu kabisa Kenya na Afrika Mashariki kwa sasa ni Britam Tower (200m) ikifuatwa na UAP Tower (163m)
Ofisi ya developer hii hapa
![]()
![]()
![]()
Renders za apartments hizi hapa
![]()
![]()
![]()
![]()
sikuekei ww bogus kama unataka kuiona njoo getto hakikisha uje umevaa kanga😀😀😀Weka selfie tuamini ama ni ya baba/Muindi pale dukani ulipoajiriwa? Nasikia ukiajiriwa kazi na muhindi unafanya kazi hata za ziada bila malipo kama vile kuosha vyombo, kufua nguo na pia kupika?
Ndio kwangu we ulitaka nipige wapi kwa nyanya yako😀😀😀😀😀😀Picha zote unapiga place moja kila siku
Maumivu makali sana yamekushika ipasavyoAnauza kwa shop alafu analala upstairs Kariakoo.....
bila shaka ni picha zako hizo kaka. nimezi download toka instagram.Noma sana Mkuu.
sikuekei ww bogus kama unataka kuiona njoo getto hakikisha uje umevaa kanga😀😀😀

nilikwambia usiowaonyeshe vitu vizuri,watakasirika.....unaona sasa wameanza kujadili personality badala ya issues...hawapendi kuona watz wanaishi good life. wanataka sote tuishi maisha ya kikora kuibia watu mikoba yao cbd.Maumivu makali sana yamekushika ipasavyo





Mi Niko kwenye matatu ni mwendo wa bedbugs na kizunguzungu kama vampire!BRT ni ya kipekee.. Nimetoka ubungo Dakika chache tu Niko Posta
![]()
![]()
![]()
Mi Niko kwenye matatu ni mwendo wa bedbugs na kizunguzungu kama vampire!


Ngoja Nile vitamin D kwanza
😀😀😀😀😀😀 Wanaumia sana aisenilikwambia usiowaonyeshe vitu vizuri,watakasirika.....unaona sasa wameanza kujadili personality badala ya issues...hawapendi kuona watz wanaishi good life. wanataka sote tuishi maisha ya kikora kuibia watu mikoba yao cbd.![]()
Mi Niko kwenye matatu ni mwendo wa bedbugs na kizunguzungu kama vampire!
