Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mchepuko wa hatari jamaa
Utamsikia kafika China
Kesho ntakukuta humu ntashangaa...afu kila siku mnahamasishana msichokiweza kufanya,unataja nchi zilizowazidi kwa mbali kabisa hehe ww Egypt iliowazidi GDP Zaidi ya $ 250 bln bado unakaa kuiwaza?Kenya yote inazidiwa uchumi na jozi sasa kwann usijihurumie ubaki njia kuu

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
zanzibar 5000 expensive villas along ocean😀😀😀
siiku mkifikia level hii kokote kenya unitag😛😛😛😛
Fumba%20Global%20Views%2003.jpg

View attachment 688527 View attachment 688528 View attachment 688529 View attachment 688530 View attachment 688531 View attachment 688532 View attachment 688533 View attachment 688534 View attachment 688535 View attachment 688536
IMG-20170516-WA0003.jpg

View attachment 688543 View attachment 688544
View attachment 688546 View attachment 688547 View attachment 688548
Hiyo noma sana ,Kenya watafika 2600 labda
 
gulf stream v one of the expensive aircraft in the world
LDC wanamiliki lakini cha ajabu DC hawana😀😀😀😀
upload_2018-2-1_10-41-57.jpeg



fokker 70 ER ndege ya 70s😛😛😛😛😛
kenya.jpg
 
jamaa zao walikuja bongo kushangaa uzuri wa BRT yetu, hawakuja kujifunza.

utaendaje nchi ya watu kujifunza jambo ambalo nchi yako haiwezi kuli-achieve?.....kama si upoyoyo ni nini.

Do you know what bench-marking and feasibility studies entails? After their field findings and comparisons on ground they must have come out with an analysis that it's not viable for such BRT system. It's not just a matter of copy and paste! What works well for Dar can't necessarily work for Nbo. Nothing lost,everything was budgeted for be it feasibility studies,research and consultancy.
Before you expose your dunderhead thoughts here,learn to appreciate that your ''jua kali'' way isn't our way!
 
Do you know what bench-marking and feasibility studies entails? After their field findings and comparisons on ground they must have come out with an analysis that it's not viable for such BRT system. It's not just a matter of copy and paste! What works well for Dar can't necessarily work for Nbo. Nothing lost,everything was budgeted for be it feasibility studies,research and consultancy.
Before you expose your dunderhead thoughts here,learn to appreciate that your ''jua kali'' way isn't our way!
nonsense as usual😀😀😀😀😀😀😀😀
 
What works well for Dar can't necessarily work for Nbo.
ishasemwa sana kwamba mradi wa BRT hauwezi kutekelezeka kenya na hata hapa kwenye thread tulishawahi jadiri siku za nyuma.

sasa mliwalete dar kufanya nini?... kushangaa uzuri wa BRT yetu bila shaka.

basi sawa endeleeni kufanya study tour kwa vitu ambavyo hamuwezi kuvi-achieve.
 
Back
Top Bottom