Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,115
- 17,841
Wewe uko na kichaa cha mbwa. Mtu hana mbele wala nyuma atawezaje kuafford kulipia passport wakati hata pesa ya kujikimu ndio shida inabidi afanye kazi ya omba omba? Common sense is not common to some people. Na muwache hii tabia ya kukana watanzania wenzenu. Ni wanadamu kama tu mimi na wewe licha ya hali yao ya umasikini. Hii tabia yenu ni mbaya sanaweka hisia na mahaba pembeni.
mtu anaweza lipia pass aje kuomba kweli???