Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leta yenu yenye inamvuto...Ldc nyie mnajenga your first flyover 50 years since independence hauna hata haya ukidharau ya wengine wakati wewe hauna hata robo ya unachodharau
Kinachoshangaza na kustaajabisha, 54 yrs after indepence bado taifa halijaweza kuzalisha chakula chake, wala kusambaza maji katika capital city.
 
Wewe uko na kichaa cha mbwa. Mtu hana mbele wala nyuma atawezaje kuafford kulipia passport wakati hata pesa ya kujikimu ndio shida inabidi afanye kazi ya omba omba? Common sense is not common to some people. Na muwache hii tabia ya kukana watanzania wenzenu. Ni wanadamu kama tu mimi na wewe licha ya hali yao ya umasikini. Hii tabia yenu ni mbaya sana
Tumewaruhusu fukuzeni wote kama kweli ni watz icje kuwa ni wakibera wezunu mnasema watz
 
Wewe uko na kichaa cha mbwa. Mtu hana mbele wala nyuma atawezaje kuafford kulipia passport wakati hata pesa ya kujikimu ndio shida inabidi afanye kazi ya omba omba? Common sense is not common to some people. Na muwache hii tabia ya kukana watanzania wenzenu. Ni wanadamu kama tu mimi na wewe licha ya hali yao ya umasikini. Hii tabia yenu ni mbaya sana
ona ulivyo mpumbavu.hujui hata unachoandika kinazidi kukuacha uchi.
ombaomba anaweza kulipia pass ya kuvuka boda kwenda kuomba kwa umasikini alionao???kwa taarifa yako kuna omba omba wana maisha super kuliko wewe mbabaishaji wa nairobi hapo.

kwa kutambua hilo,tukashtuka kwamba tunalea maradhi watu wanalemaa tu hawafanyi kazi wakiomba na wanazidi kuongezeka.marufuku ikatolewa.wakaona waje kenya labda.

ulivyo kinabo,unajisifu kutoa bob kwa watanzania bila kufikiria wamewezaje kuingia huko na ni masikini wa kuomba.
 
A secondary school pupil in Kenya has superior knowledge and understanding than a PhD holder in Tanzania.

sasa wewe umefika ngazi gani ya elimu ya huko kenya maana u mweupe kinchwani!!!!hata hiyo class two hujafika.

embu soma hata hii sentensi yako,ujishangae.
 
Hapo chacha kenya mupooo
Screenshot_2018-01-31-20-53-16.png
 
sasa wewe umefika ngazi gani ya elimu ya huko kenya maana u mweupe kinchwani!!!!hata hiyo class two hujafika.

embu soma hata hii sentensi yako,ujishangae.
Wewe mnyamwezi usinitajie mambo ya elimu coz kenya and tanzania are not on the same level on matters education. Hamngejazana katika shule zetu kama hiyo elimu yenu ni bora. Tuongee mambo mengine, sio ya elimu.
 
Kinachoshangaza na kustaajabisha, 54 yrs after indepence bado taifa halijaweza kuzalisha chakula chake, wala kusambaza maji katika capital city.
Ngoja ile siku nikibisha kwa mlango yako kukuomba chakula ndio unitajie mambo ya chakula. Wewe naweza kukulisha pamoja na jamii yako nzima
 
Smart person always spends more time on planning phase and less time in implementation, stupid person rushes in implementation part, as the result he ends up with low quality, expensive and unfinished projects.
Kawaida yenu hamkosangi vijisababu. Typical bongolala
 
The below pcs are from MBEYA,about 850km from Dar,inamatch na Eldoret or Nakuru
 

Attachments

  • IMG_20180128_112809.jpg
    IMG_20180128_112809.jpg
    131.4 KB · Views: 29
  • IMG_20180128_130045.jpg
    IMG_20180128_130045.jpg
    135 KB · Views: 26
  • IMG_20180128_124103.jpg
    IMG_20180128_124103.jpg
    114.7 KB · Views: 28
  • IMG_20180128_131340.jpg
    IMG_20180128_131340.jpg
    101.5 KB · Views: 26
  • IMG_20180128_130640.jpg
    IMG_20180128_130640.jpg
    70.2 KB · Views: 26
  • IMG_20180128_130915.jpg
    IMG_20180128_130915.jpg
    115.2 KB · Views: 26
  • IMG_20180128_105516.jpg
    IMG_20180128_105516.jpg
    72.3 KB · Views: 28
endeleeni kupanga nyumba kwa mistari kama itafaa kupigia picha mtaitumia.

ila kuitaja taja dar kwa eneo lolote kenya ni kujipa stress.dar now haikai ligi moja na mji wowote EA.
Hahaha....joke of the century. Ligi yenu ni Mombasa kuleeee
 
Am I on the wrong thread here? Dar vs Nbi was supposed to be trending until you people started bringing in Shinyanga, Rufiji, etc. Now when Eldoret is squeezed in you go gaga!
Deal with it,Eldoret is not even a city but well planned than your glorified slum city of Dar
Point on...kule bongolala anything is called a city provided kuna jengo lina five floors, hata kama ni jengo moja
 
hongera kwa kutangulia....hata sisi kuna vitu tumewatangulia

moja wapo ya kitu tulichowatangulia ni bus rapid transit(BRT).nakumbuka late last year mlituma watu "wenyu" waje dar kujifunza kuhusu BRT yetu.

98217ec0fc8599e7be0f6b17c6c2d919.jpg
9b637c09a6f63c08eaa9847cc420cb9c.jpg
Your government sent a delegation on a study tour of Thika Road in 2014 and we didn't even mention it anywhere. Sisi tunatuma delegation and the whole must know about it!
 
Back
Top Bottom