Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Crystal tower 19 flrs
a45fcdf98f62779e1be65992b8b6a183.jpg
Si wewe ndiye umesema tunapost 20 floors and above?
 
saadeque thanks for keeping them busy for me
Waambie bakora walioipata wote walisambaa hahhhhaha unafanya mchezo na bongo walibakia kujichanganya hawaaamini maana kila jengo linalokuja ni motoooo na hapo hatujamaliza ndio tulikua tunaanza na hatoki mtu humu ndani game linaendelea kaz ni kaz
 
Bakora wakati wamebakia kujinyea wamerudia majengo mawili ulikua ushayapost mwanzo ahhahahaha walikua wanajichanganya hii ndio bongo niliwaambia mm 2017 hahahahah
Kwa jinsi walivyo wajinga,wanadhani hii ni dar ya 90s.

binafsi nalifahamu jiji la nairobi na vitongoji vyake kwa mapana mno.

wakati kimuonekano majengo yetu mengi ni ya mtindo wa kisasa, yao mengi ni ya kizamani.

nafurahi mnavo wanyima usingizi.
 
Si wewe ndiye umesema tunapost 20 floors and above?
Nani alisema onesha nilikwambia hatujamaliza 20 watulie mm nilikua napost hizo kwasababu zilikua karibu ninazo so hio golden tulip 23 floors mumeekewa munajinyea jibuni sasa tuendelee
 
Kwa jinsi walivyo wajinga,wanadhani hii ni dar ya 90s.

binafsi nalifahamu jiji la nairobi na vitongoji vyake kwa mapana mno.

wakati kimuonekano majengo yetu mengi ni ya mtindo wa kisasa, yao mengi ni ya kizamani.

nafurahi mnavo wanyima usingizi.
Hahahahhahhaa jana tuliwawashia moto wote walisambaa hahaha wamebakia kurudia majengo ya uchumi na nssf za kwao hahahahahhahaha tukawaambia zimerudiwa wakakataa tukawaonesha link hao wakakimbia mdogo mdogo😀😀😀
 
Na tukimaliza hapa tunaanza under construction towers ili tuelewane vzr
 
Kwanza mmepost zaidi yetu maana nilianza pili kuna mtu alipost jengo la 18flr humu
Tatu tuna majengo kibao above20 ila picha sina na majina sijui
Tathmini hii picha apa
1ab09796e882a8ee45b7662cc89993f1.jpg
2c70e18a2a4eab3173960e41c241a39e.jpg
c842d56bc6f0443fe90df649a2f70861.jpg

Kibaya ni kuwa dsm ni kubwa na kila siku inajengwa
Majengo ni mengi ila yanayofahamika ni machache ndo unakuta kwenye internet
dbb1a2a8a0b019dbf55c14e2ba06dff9.jpg

66e5a9f7ab3ce8b8ab2529f23fee6462.jpg
e8567143c0fa2ad95cd2a7b80e5731f4.jpg
gani iko above 20 apa.....izo zote ni 18 kushuka.unadanganya umma kijana.dar imeishiwa
 
zikiisha izo za nai dar above 20,tunaenda msa mwanza above 20
 
Dar kuna 10 buildings with over 20+ floors.
Sioni Haja ya kubishana hapa.
Hahaha. Nadhani inaenda unabadili. Mwanzoni ulisema matatu tu sasa hivi unasema kumi. Utaelewa tu.
 
Back
Top Bottom