Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

UCHUMI HOUSE
21 FLOORS/71M
674286-Large-lookingup-view-from-aga-khan-walk.jpg
Imeshapostiwa hii sory acha kudandia treni kwa mbele leta nyingine
 
200px-i-m_bank_tower-jpg.487703

hili ndio umepewa mwisho mkuu...ilikua bado wewe but nairobiwalker kaenda kujipumzisha.kesho mungu akipenda
Kwanza mmepost zaidi yetu maana nilianza pili kuna mtu alipost jengo la 18flr humu
Tatu tuna majengo kibao above20 ila picha sina na majina sijui
Tathmini hii picha apa
1ab09796e882a8ee45b7662cc89993f1.jpg
2c70e18a2a4eab3173960e41c241a39e.jpg
c842d56bc6f0443fe90df649a2f70861.jpg

Kibaya ni kuwa dsm ni kubwa na kila siku inajengwa
Majengo ni mengi ila yanayofahamika ni machache ndo unakuta kwenye internet
dbb1a2a8a0b019dbf55c14e2ba06dff9.jpg

66e5a9f7ab3ce8b8ab2529f23fee6462.jpg
e8567143c0fa2ad95cd2a7b80e5731f4.jpg
 
DELTA CORNER TOWER A AND DELTA CORNER TOWER B
21 flors/ 75m both
1_454x340.jpg

Hizi ni mbili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vinajua fix hivi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama mnataka above 20 dsm yamejaa sana mfano ni hizo picha
Majengo ata majina siyajui
delta iko 20
 
Angalia sasa mmeishiwa na majengo adi mnaleta jengo lenye floor 18
Mi nilisema nyie ni minara tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mmekimbia
Na bado majengo kibao sijaweka
Inabidi muirespect dar


PSPF Golden jubelee 24 flrs
d7d3879108b518f8186e8b93563b19e4.jpg
83bd2f68e8ab726703b25510dd35f830.jpg


The battle is between me representing Kenya and KweliKwanza representing Tz. Please let's focus on the two to avoid confusion. PSPF Golden Jubilee is 22 floors mkuu. Nakupa Nyayo House - 27 floors. Haya nipe jengo.

9167877796_6e9f907d85_b.jpg
 
Hizi data za uongouongo unatunga wapi sijui
Minara ndo inakuchanganya ee
Ok
1. Britam 33 vs tpa 40
2. UAP 33 vs PSPF 35
3. Times tower 33 vs PSPF 35
4.TELEPOSTA 27 vs Rita tower 30

4:0 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ndo dsm
Minara inawasumbua akili
Mpaka mnaweka majengo ambayo hayajafunguliwa[emoji23][emoji23]
kaka naona unawacharaza bakora wazee wa matopeni na vyuma chakavu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
5e9414673faf27bd0130fe0395fa6102.jpg
 
Hili mshapost uko nyuma
Nimepost majengo mawili leta mawili tuendelee kazi
Hivi mbona nyie mnapost majengo mawili yalishikana mara mbili nasi tukifanya hivyo mwalalamika? Si umepost Viva Tower mara mbili? Mbona sisi tusipost NSSF (North tower + South Tower) na Nyayo House (North Tower + South Tower) mara mbili?
 
Tukubaliane kitu moja twin or multiple towers ni zile zilizoachana kutoka kwa ground kama Vile PSPF, BOT, Delta Towers etc. hivi vijengo munatupea vinakaa jengo moja kutoka ground alafu munasema eti twin towers mutakoma. Kumbukeni Anniversary Towers, Nyayo House, NSSF, Ambank, Viewpark etc ni majengo mengi yaliyoshikana ila tunayapost kama jengo moja.
 
kaka naona unawacharaza bakora wazee wa matopeni na vyuma chakavu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
5e9414673faf27bd0130fe0395fa6102.jpg
Bakora wakati wamebakia kujinyea wamerudia majengo mawili ulikua ushayapost mwanzo ahhahahaha walikua wanajichanganya hii ndio bongo niliwaambia mm 2017 hahahahah
 
Tukubaliane kitu moja twin or multiple towers ni zile zilizoachana kutoka kwa ground kama Vile PSPF, BOT, Delta Towers etc. hivi vijengo munatupea vinakaa jengo moja kutoka ground alafu munasema eti twin towers mutakoma. Kumbukeni Anniversary Towers, Nyayo House, NSSF, Ambank, Viewpark etc ni majengo mengi yaliyoshikana ila tunayapost kama jengo moja.
Soma mwanzo mpaka mwisho wenzako wamerudia majengo mawili hawajui wapost nini hahahahaha dar ni motooooo hehehehehe
 
Hivi mbona nyie mnapost majengo mawili yalishikana mara mbili nasi tukifanya hivyo mwalalamika? Si umepost Viva Tower mara mbili? Mbona sisi tusipost NSSF (North tower + South Tower) na Nyayo House (North Tower + South Tower) mara mbili?
Jengo linaangaliwa na yalivokaa kwasababu yakwetu mengi ni twin towers hahahaha wameekea 6 towers hahha wakaruka kama wamepigwa shoti wamebakia kuomba jina na kulia hahahahhahahahha wamenifurahisha sana watoto wako jana😀😀😀
 
Back
Top Bottom