ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Imeshapostiwa hii sory acha kudandia treni kwa mbele leta nyingineUCHUMI HOUSE
21 FLOORS/71M
![]()
Imeshapostiwa hii sory acha kudandia treni kwa mbele leta nyingineUCHUMI HOUSE
21 FLOORS/71M
![]()
Bado...Imeshapostiwa hii sory acha kudandia treni kwa mbele leta nyingine
Kwanza mmepost zaidi yetu maana nilianza pili kuna mtu alipost jengo la 18flr humu![]()
hili ndio umepewa mwisho mkuu...ilikua bado wewe but nairobiwalker kaenda kujipumzisha.kesho mungu akipenda
Hahahaha acha kujidanganya weweusiku mwema jamaa...below 20 floors tupambane kesho nkimalizia za above 20 uku nai...so the fight izi over.above 20 nai ndio mbabe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]DELTA CORNER TOWER A AND DELTA CORNER TOWER B
21 flors/ 75m both
![]()
Hizi ni mbili
delta iko 20
Aya hii hawajajibuTan re house 20 fl
View attachment 487737
Ni 18Delta corner A&B ni 21 floors not 20.
Ndo zao wanarudiarudia2Imeshapostiwa hii sory acha kudandia treni kwa mbele leta nyingine
Mnapost mara ngapiUCHUMI HOUSE
21 FLOORS/71M
![]()
We jamaa umesepa baada ya kuona umeshindwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Angalia sasa mmeishiwa na majengo adi mnaleta jengo lenye floor 18
Mi nilisema nyie ni minara tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mmekimbia
Na bado majengo kibao sijaweka
Inabidi muirespect dar
PSPF Golden jubelee 24 flrs![]()
![]()
kaka naona unawacharaza bakora wazee wa matopeni na vyuma chakavu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hizi data za uongouongo unatunga wapi sijui
Minara ndo inakuchanganya ee
Ok
1. Britam 33 vs tpa 40
2. UAP 33 vs PSPF 35
3. Times tower 33 vs PSPF 35
4.TELEPOSTA 27 vs Rita tower 30
4:0 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ndo dsm
Minara inawasumbua akili
Mpaka mnaweka majengo ambayo hayajafunguliwa[emoji23][emoji23]
Hivi mbona nyie mnapost majengo mawili yalishikana mara mbili nasi tukifanya hivyo mwalalamika? Si umepost Viva Tower mara mbili? Mbona sisi tusipost NSSF (North tower + South Tower) na Nyayo House (North Tower + South Tower) mara mbili?Hili mshapost uko nyuma
Nimepost majengo mawili leta mawili tuendelee kazi
Bakora wakati wamebakia kujinyea wamerudia majengo mawili ulikua ushayapost mwanzo ahhahahaha walikua wanajichanganya hii ndio bongo niliwaambia mm 2017 hahahahahkaka naona unawacharaza bakora wazee wa matopeni na vyuma chakavu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
![]()
Soma mwanzo mpaka mwisho wenzako wamerudia majengo mawili hawajui wapost nini hahahahaha dar ni motooooo heheheheheTukubaliane kitu moja twin or multiple towers ni zile zilizoachana kutoka kwa ground kama Vile PSPF, BOT, Delta Towers etc. hivi vijengo munatupea vinakaa jengo moja kutoka ground alafu munasema eti twin towers mutakoma. Kumbukeni Anniversary Towers, Nyayo House, NSSF, Ambank, Viewpark etc ni majengo mengi yaliyoshikana ila tunayapost kama jengo moja.
Jengo linaangaliwa na yalivokaa kwasababu yakwetu mengi ni twin towers hahahaha wameekea 6 towers hahha wakaruka kama wamepigwa shoti wamebakia kuomba jina na kulia hahahahhahahahha wamenifurahisha sana watoto wako jana😀😀😀Hivi mbona nyie mnapost majengo mawili yalishikana mara mbili nasi tukifanya hivyo mwalalamika? Si umepost Viva Tower mara mbili? Mbona sisi tusipost NSSF (North tower + South Tower) na Nyayo House (North Tower + South Tower) mara mbili?