Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Post vitu mature si kujaza utoto hapa
Waambie hao waandishi wa Kenya walioandika habari hii katika gazeti la Kenya kwamba ni mambo ya kitoto. Hivi SGR kukosa mizigo ambayo ndiyo yenye kuingiza faida kubwa ni jambo la kitoto?, jambo gani ungependa kusikia kati ya njaa, tribalism, corruption, insecurity, unemployment, slums, poverty, NASA vs Jubilee?
 
Ukitaka watu washift kwa road to rail mara moja...
vitu hutake time like 6month period..jinga sana
Acha maneno yako wewe, kama kweli gharama za SGR zipo chini kuliko za barabara, businessmen would scrumble for it from day one, actually it would be full booked before it starts service.
 
harufu ya white elephant imeanza kunukia😀😀
mchina mchina nini umewafanyia ndugu zetu

Goods shortage stalls Kenya SGR cargo business - The East African



3B5435D2-B630-4FCA-959F-A058781C7709.jpeg
 
Lool, I didn't know you this Lunatic.. Watu siku zote wanaangalia Urahisi, Efficiency and Time Saving. Hii Treni yenu ya 70s doesn't meet majority and Today's world demands. The business will never be favourable. First its Old na very Expensive compared with the Road wakati SGR is meant to be Fast, Cheap and Time saving.. I wonder where's your 2Billion education budget go. You seriously need some education
Sawa,jengeni yenu kwanza, Ethiopians ndio wanafaa kuongea sio nyinyi hapo
 
Ni aibu kubishana na watu wakati ya kenya na Ethiopia ndio pekee ishaanza kazi.
JENGENI YENU BY 2020 NDIO MZUNGUMZE..
period
 
Ukitaka watu washift kwa road to rail mara moja...
vitu hutake time like 6month period..jinga sana
nilitegemea kutokana kwanza itasave muda, itakua safe zaidi na pia itakua cheap ili kuwavutia wafanyabiashara kuitumia zaidi lakini imeshindikana, sababu kubwa ni kua ili irudishe pesa inabidi iwe mupandishe bei nje ya hapo hlo deni mutalipa 50yrs😀😀😀😀😀😀
 
Trying to hold Total hostage with those theatrics for oil exploration won't work juu kazi ishakamilika Hoima Lokichar Lamu pipeline, mambo ya kungoja za bwerere mpeleke huko vijiweni... Huu mchezo hautaki kupe.
where is hoima lokichar pipeline???😀😀😀
hoima wanapitisha bomba lao tanga nyie jengeni ya kwenu 😛😛😛😛😛😛😛 alaf tullow alivo mjanja kaona akijenga pipeline 750km ni loss kwake sasa kaamua kuwazungusha tu

hoima to tanga pipeline ujenzi umeanza asante uncle magu 4b usd aiseee😀😀😀😀😀


Uganda picks Tanzania for oil pipeline


62455790-78E7-472F-8EAE-8142F7D985F4.jpeg

8B0F8FA8-F70F-4F3A-B9F2-DDAF94C02CB1.jpeg
 
Back
Top Bottom