hoima to tanga oil pipe line hio isahau ndugu, ni baada kuona tullow ameyumba na bado anasuasua juu ya ujenzi wa bomba la mafuta kutoka lokuchar kwenda lamu, mukamuomba total aje kunusuru hio project, labda nikupe hesabu rahisi tullow alishaona kujeng pipeline from lokichar to lamu ni hasara kwake, yani ajenge pipeline 750 km alaf uwezo wa kusukuma mafuta 2000 barrels per day alaf mafuta yenyewe yako 663m barrels, tumia akili ya kimahesabu tu, 😀😀😀😀😀 makampuni ya nje yapo kimaslahi sio kwa ajili ya sifa, tullow alishaona hasara ndio maana anawazungusha mukaamua mumuombe total awasaidie, so total pia hawezi kufanya kazi ya hasara, poleni sana inauma sana😛😛😛😛
tulimaliza kwenye bomba sasa tunataka kumaliza kwenye SGR, rwanda tayari bado tumalizane na uganda na kumbuka without uganda kenya SGR is white elephant