stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 36,908
- 36,016
nliisoma hio mpaka wanatia huruma, kwa kifupi kasarani is gone, na iliobaki ndo kwanza wanarudia kupanda nyasi 🤣 🤣 🤣 we are left with 2 months and 3weeks tohandle over everything 🤣🤣🤣🤣 atleast uganda ashamaliza mapema yuko zake anarembesha barabara na kumalizia namboole. BTW unajua who was the reason CHAN was postponed? this will be a lesson next time tukiwa tunachagua wa kupatner nae