Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
ndio nataka mnionyeshe.mtanzania yupi kavaa shati ya Kenya??
bado hamjatimiza nilichotaka mtimize. mnaleta porojo tu
bila shaka bado mnamkumbuka l yule kijana maarufu wa kenya aliyeshinda mamilioni ya sportpesa 2017.
tazama vizuri alama na maandishi kwenye t-shirt aliyovaa.
Factors zilikua nyingi sana we unafkiri ni Kujitangaza tu... Before Magu kulikua kuna shida ya Infrastructures kwenye maeneo ya Utalii ie. Viwanja vya ndege na mambo mengn.. Baada ya kulishughulikia hilo umeona mwaka 2017 tulivyofunga kwa idadi kubwa ya watalii?your very stupid....usher or any other celebrity has alot of followers on social media...sasa ukijitangaza naye una appeal kwa hawa followers...we pimbi au?kuna followers wajinga sana...akiskia jamaa wake yuko serengeti, anapanda ndege mara moja muenda kujionea....sasa mkinyamaza utalii unakua aje? ebu jiulize mbona Tanzania inashindwa kwa utalii na nchi kama Zimbabwe? Tanzania has more tourist attractions than Zimbabwe or Botswana but you receive less tourists...why?
ni kama tu vile wewe unavyopenda kuhoji vitu vya kijinga hapa jf...nina hakika 100% kuwa wewe ni mjinga na mshamba sana.unapenda vitu za kijinga
naelewa hilo sana ila hata bila infrastructure, Tanzania ni nchi yenye tourist attractions nyingi sana...hamufai kuwa mnapata tourists wachache kuliko Botswana, Zimbabwe etc...Kuna wakati hata mlikuwa mnapata watalii chini ya Uganda na Kenya kabla ya terror attacks toka kwa alshabaaab...can I ask why? Bostwana kwanza hata haina wanyama ni nchi kavu tu...TZ has serengeti but it receves less than 2 mil touristsndio maana huwa tunawadharau hapa JF...sio kwa bahati mbaya bro...ujamaa uliwamaliza kabisa...heri mngekuwa capitalists Tanzania ingekuwa mbali sana aisee...Nyerere was a great leader but he wasted you guys with that ujamaa mentality...a country with so many resources should not be an LDC...DRC also has alot of resources but it is LDC...but we can understand because it has had civil war for many years...Factors zilikua nyingi sana we unafkiri ni Kujitangaza tu... Before Magu kulikua kuna shida ya Infrastructures kwenye maeneo ya Utalii ie. Viwanja vya ndege na mambo mengn.. Baada ya kulishughulikia hilo umeona mwaka 2017 tulivyofunga kwa idadi kubwa ya watalii?
Unanieleza ujinga tu.. Hayo ni makampuni ya nje wala usijisifie mnaongoza kwa kuwekeza.. Yani hapo ni sawa na Kusema tu makampuni ya China America Yenye wawakilishi kutoka Kenya Yanaongoza kuwekeza Africa.. Nyie furahini na Tax tu wanayolipa but in reality you've nothing to be proud of..Kenya overtakes SA as biggest investor in African countries
the statement is very clear and easy...Kenya is Kenya my friend..Holland is Holland..China is China...sawa? inabidi nikutafsirie naona Kiingereza kimekuwa kigumu
kampuni kama Nakumatt, Tuskys, Brookside, Bidco na kadhalika zipo rwanda, soudan, somalia, Uganda, Nigeria na tanzania...KCB bank iko rwanda na Uganda...Equity Bank ya Kenya pia iko Sudan na Uganda
na utoto wangu lakini nanyorosha majobless wote wa kenya mliopo hapa jf.we jamaa uko na utoto sana
haya kati ya Bidco, Brookside, KCB, Equity na kadhalika nataka uniambie ni ipi ya ng'amboUnanieleza ujinga tu.. Hayo ni makampuni ya nje wala usijisifie mnaongoza kwa kuwekeza.. Yani hapo ni sawa na Kusema tu makampuni ya China America Yenye wawakilishi kutoka Kenya Yanaongoza kuwekeza Africa.. Nyie furahini na Tax tu wanayolipa but in reality you've nothing to be proud of..
ok brona utoto wangu lakini nanyorosha majobless wote wa kenya mliopo hapa jf.
good.ok bro
Before Pinnacle, Montave and Avic are complete
Sikulaumu kwasababu MTU yoyote anae toka Kenya sio Wa kulaumiwa ni MTU Wa kusikitikiwa.( cursed nation)naelewa hilo sana ila hata bila infrastructure, Tanzania ni nchi yenye tourist attractions nyingi sana...hamufai kuwa mnapata tourists wachache kuliko Botswana, Zimbabwe etc...Kuna wakati hata mlikuwa mnapata watalii chini ya Uganda na Kenya kabla ya terror attacks toka kwa alshabaaab...can I ask why? Bostwana kwanza hata haina wanyama ni nchi kavu tu...TZ has serengeti but it receves less than 2 mil touristsndio maana huwa tunawadharau hapa JF...sio kwa bahati mbaya bro...ujamaa uliwamaliza kabisa...heri mngekuwa capitalists Tanzania ingekuwa mbali sana aisee...Nyerere was a great leader but he wasted you guys with that ujamaa mentality...a country with so many resources should not be an LDC...DRC also has alot of resources but it is LDC...but we can understand because it has had civil war for many years...
inaitwa kujitangaza...ina manufaa tele katika sekta ya tourism...kuweni wajanja...sahii mnafaa kuwa mnapata watalii milioni tano kuenda juu ila ujinga wenu umewakwamisha kwa mil 2, the same as Botswana...mtu kama usher akija serengeti ama kwingine huo ni muda wa kujitangaza duniani kote
Haha ujinga ni kukaa kwenye hayo mabanda kama kota za polisi...posh houses zinahitaji nafasi ,apo Ata gari wanapark wap?naona umefrahia mabati ya rangi moja..Dear danganyikans, please show us your residential estates. Well-planned estates in Dar like this one below
View attachment 682427
umeambiwa uonyesshe mahali panafanana hivi..wacha kulenga story broHaha ujinga ni kukaa kwenye hayo mabanda kama kota za polisi...posh houses zinahitaji nafasi ,apo Ata gari wanapark wap?naona umefrahia mabati ya rangi moja..
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Zimeshuka mpaka 4 Kenya nzimaaaa???haya kati ya Bidco, Brookside, KCB, Equity na kadhalika nataka uniambie ni ipi ya ng'ambopengine sijakuelewa...
Haha kama hwajakuonyesha tumia Google tafadhali. ..izo Ni nyumba za low grade civil servant au middle class uchwaraumeambiwa uonyesshe mahali panafanana hivi..wacha kulenga story bro
tungekuwa cursed hatungekuwa sasa hivi mbele yenu washamba wa LDC...mmelalia nchi yenye utajiri chungu nzima ila mnakufa kwa umaskini na uLDC...watalii wnu asilimia 99 wanabebwa na ndege za ng'ambo kuwafikisha Serengeti, Zanzibar na kwingine....ujamaa was a curse..it united you as one people but it left you without a hustling mentality...sasa mnalinganishwa na nchi kama Somalia na Chad, nchi ambazo hazina utajiri wowote...nyote mpo fourth world countries (LDC)Sikulaumu kwasababu MTU yoyote anae toka Kenya sio Wa kulaumiwa ni MTU Wa kusikitikiwa.( cursed nation)
Mmeuza taifa..
Mwl nyerere alitaka Sisi tupigane kiume na tujiletee maendeleo yetu wenyewe ndio maana mpk sasa Watanzania ndio wenye mamlaka na Mali zao, mzungu hana Nafasi atabaki kuwa mwekezaji tu na sio Mmiliki Wa Chochote cha Tz..