Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I see 1 stalled dwarf, and maybe 2 other dwarfs under construction plus the about 8 - 12 ugly complete dwarfs.
What's the purpose of this picture bwana LDC welder?
what else do you see
1786647074937.png
 
But mwambie akuonyeshe picha za BRT uone ukijaziwa pages Tatu na picha latest latest za BRT, lakini ikifika kwa 20 floors building watakuambia hao hawapendi kupiga mapicha🤣🤣😂😂
ikifika kwenye nn tena
1786647133138.png
 
Si ati hampendi kupiga mapicha, that answer only comes out when it comes to showing buildings under construction. Mbona jana vile Nicxie aliharibu kuongelea Jangwani bridge mlimrushia mapicha hapa karibu Jamaa wetu apoteze ufahamu?
lakini sisi tuliwaambia mtuonyeshe Glass building ni mwaka sasa unaisha
 
Museveni anajua watu wa fitna na husda wanakaaje! Imagine walikataa kushiriki EACOP kisa inapita Tanzania! Saahii wanataka kufaidika na benefits za EACOP! Hawa watu ni wabinafsi na Dangote anaenda kuumia akiwaendekeza!


View: https://x.com/stats_wire/status/2087941328101376208

Tanga Refinery:- The first "Proposed refinery" in the world, that nobody knows how many barrels will be produced.

Even the media has been forced to use placeholders like "energy hub", "Storage tanks manenos" and other terms that are entering the English vocabulary for the first time.

Bongolalas said: If we can't understand English, they will destroy/confuse your English.

And now all of us are just circling around some big non-existent, ghost project, with big English that makes no sense. 😂😂😂

Ogopa wachawi wa bongo 😂😂
 
Bertin loves exaggerating things when he's talking about Tanzania. Most of the towers in that video were not 0 floors. For example, this one that he said will be one of the tallest is only floors. You can count.

View attachment 3649867
Nilivyopost renders juzi pia ulizikataa. Kwahiyo wala sitoshangaa ukimpinga Bertin akoeleza chochote. 😂😂😂

Any ways how many projects Bertin amezionyesha in that video.?
 
Tanga Refinery:- The first "Proposed refinery" in the world, that nobody knows how many barrels will be produced.

Even the media has been forced to use placeholders like "energy hub", "Storage tanks manenos" and other terms that are entering the English vocabulary for the first time.

Bongolalas said: If we can't understand English, they will destroy/confuse your English.

And now all of us are just circling around some big non-existent, ghost project, with big English that makes no sense. 😂😂😂

Ogopa wachawi wa bongo 😂😂
how about you telling us where your IPO refinery will get crude from
 
Nilivyopost renders juzi pia ulizikataa. Kwahiyo wala sitoshangaa ukimpinga Bertin akoeleza chochote. 😂😂😂

Any ways how many projects Bertin amezionyesha in that video.?
Sikuzikataa mbilikimo, nilikuambia upost construction site ukashindwa. 😂😂😂
Anyway, I am going through the video and I see a lot of exaggeration. The first building ndio hiyo nimepost na sio 20 floors. 😂😂
 
Back
Top Bottom