Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Museveni anajua watu wa fitna na husda wanakaaje! Imagine walikataa kushiriki EACOP kisa inapita Tanzania! Saahii wanataka kufaidika na benefits za EACOP! Hawa watu ni wabinafsi na Dangote anaenda kuumia akiwaendekeza!


View: https://x.com/stats_wire/status/2087941328101376208

MY TAKE
Kuna sababu kwann natumia slogan ya Museveni jamaa hakurupuki!

“if puppies are young, you don’t know which one will be a better hunter, so you feed all of them and when they grow you see which one emerges the best hunter” Yoweri Kaguta Museveni.

Kumbukeni kipindi cha kuwania EACOP, kwanza ni hivi media yao ilikuwa arrogant!

View: https://youtu.be/ICZ-dQENf9A?si=FwPF9iAhvo4Ik1Ug

Walipoona muelekeo wakaanza huu ujinga!

Then wakapigwa na kitu kizito!

View: https://youtu.be/WqCb5AP0CJU?si=MkZfYiVtKwMrmPVG

Hiyo slogan aliitumia baada ya Uhuru kukataa ku-support mradi wa EACOP pale Kampala baada ya kuamuliwa kupita Tanga!

Uhuru aliporudi Nairobi akatoa hii statement na akaanza safari za Paris kujaribu kupindua maamuzi ya Kampala!

View: https://youtu.be/RR6HYRl0U_Q?is=nI9QdTb_TyRudeCo


View: https://youtu.be/DSFKCADGIaE?si=n8zUKAoqEFUkkhYV

View: https://youtu.be/hMdrd1ec_74?si=tBHyFWABvneNuQmy

CC: Teargass Nicxie NairobiWalker nairobae mwathadan n IamLee
 
Ni kweli, Watanzania hatupigi sana miji yetu picha kama Wakenya
Ni Bertin ndio anasaidia sana kuonesha maeneo kadhaa ya Tanzania na watu wanatoa picha huko. Bertin bado kuna sehemu nyingi sana Tanzania hajafika na siku akienda utaona watu wataanza kuzipost humu, ni kwa sababu picha recent za maeneo mengi Tanzania kuzipata ni ngumu
Si ati hampendi kupiga mapicha, that answer only comes out when it comes to showing buildings under construction. Mbona jana vile Nicxie aliharibu kuongelea Jangwani bridge mlimrushia mapicha hapa karibu Jamaa wetu apoteze ufahamu?
 
What happened to modern stadiums that have foldable seats? We were told no modern stadium uses bakuli seats anymore 🤣🤣🤣
mwenyewe sielewi
1786646058795.png
 
Mambo ya South Sudan yakuhuzu nini … kwanza jibu swali… where are the foldable seats ?…🤣🤣🤣🤣🤣
umenikumbusha kuna mtu alisema, Namquote
"Tanzania ilikua na uwezo wa kuhangaika na SADC peke yake kwenye biashara zake, lakini haiwezi kuacha kuirudisha kisasi EAC" 😂 😂 😂 😂
 
Mambo ya South Sudan yakuhuzu nini … kwanza jibu swali… where are the foldable seats ?…🤣🤣🤣🤣🤣
BTW si unajua south sudan na tz saaahv we are good friends, unaingia bure JUBA, sasa ili swali nani anafaa kuulizwa vizuri 😂 😂
 
You are way off … mke wa jirani simukuli… Lakini Kenya tunakula Mali ya Kilimanjaro left and right …🤣🤣🤣… without Kilimanjaro, Amboseli would be just another regular national park, but it’s one of the most famous safari destinations in the world. It’s the picturesque of Kilimanjaro. Any photos of the mountain in the west where you promote your tourism, the background is always Amboseli .
So I ask again, name any other country that makes money of the neighbor’s property without any restrictions, repercussions or taxes ..
And there is nothing you can do !.. 🤣🤣🤣
Indeed there is nothing you can do about it 😂😂, kuna mtu alisema kuna nchi apa ni SIM 2
1786646945369.png
 
Back
Top Bottom