Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wanafiki na wabinafsi , walishangilia sana ishu ya Dangote na refinery juzi hapa wakaona kama wamemaliza,
Ghafla the Legendary granpa amesaini MoU Tanga wanalalamika eti ana sabotage 😀, Unashangaa boashara ya Uganda na Tanzania kunya inawahusu nini
nmemwambia Teargass to focus on the wedding for now
 
These are cheap buses from China. One bus goes for 9M, Kenyan built buses ranges from 25M, MarcoPolo from AVA is 35M.
back days i thought AVA was made by a kenyan and i got confused why kaizerege has to go to china, na kelele zote nkajua basi ni ya wakenya 😂 😂 😂
 
hio inaitwa simba day, its meant to showcase all the signing every 15 mins you make a sub and during half time you change the whole squad mpaka wote wacheze, the same way in CECAFA
Na bado wakanyonya vile unanyonya chakula ya mamako kwa nyumba yake.
 
Na bado wakanyonya vile unanyonya chakula ya mamako kwa nyumba yake.
achana na mpira


1786269698237.png
 
walishawahi kuchoma embassy yao pale nairobi
Majirani wao wote hawataki kufanya biashara na wakenya. Alikuwa amebaki Uganda pekee.
1. Uganda wapo na Mgogoro wa Migingo
2. South Sudan + Ethiopia Ilemi Triangle
3. Somalia ndio usiseme.

Kila jirani hataki kufanya biashara na Kenya. Wamekimbilia Nigeria
 
Majirani wao wote hawataki kufanya biashara na wakenya. Alikuwa amebaki Uganda pekee.
1. Uganda wapo na Mgogoro wa Migingo
2. South Sudan + Ethiopia Ilemi Triangle
3. Somalia ndio usiseme.

Kila jirani hataki kufanya biashara na Kenya. Wamekimbilia Nigeria
Hawa wana shida maana hawaelewani na kila Jirani
 
Even Bayern Munchen do lose these friendlies to lower ranked clubs,
Simba na polisi kenya sio level moja. Mshahara wa Clatous Chama unalipa the whole squad ya polisi kenia
Top player wa Kenya Police FC analipwa $900 USD, Huku top player wa Simba SC analipwa $20,000 per Month.

Budget ya simba kwa mwaka ni $20 Million USD 2026
Wakati Kenya Police FC $100,000

Bingu na Ardhi
 
Back
Top Bottom