Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Huyu ni mzee wa propaganda kwenye mitandao kuichafua Tanzania pamoja na SATIVA. We do not take them serious

1786271866015.png
 
Majirani wao wote hawataki kufanya biashara na wakenya. Alikuwa amebaki Uganda pekee.
1. Uganda wapo na Mgogoro wa Migingo
2. South Sudan + Ethiopia Ilemi Triangle
3. Somalia ndio usiseme.

Kila jirani hataki kufanya biashara na Kenya. Wamekimbilia Nigeria
the day somalia wamesema wanaanza kutumia dar port ndo nlijua kweli wakenya wamechokwa
 
the day somalia wamesema wanaanza kutumia dar port ndo nlijua kweli wakenya wamechokwa
South Sudan anataka kutumia Dar port, Ethiopia walikuja wanataka kutumia Dar port just imagine.

Check hapa uone

 
South Sudan anataka kutumia Dar port, Ethiopia walikuja wanataka kutumia Dar port just imagine.

Check hapa uone

Ethiopia walikuja kujenga electric train inaoenda straight mpaka djbouti port and that was the end of LAPSET
 
Jana kulikuwa na Mashindano ya Miss Grand Tanzania. Walitakiwa washindi 9 kwenda kuiwakilisha Tanzania kimataifa. Na mwingine wa 10 Miss Elite hayakufanyika mwaka jana, anaenda kuiwakilisha Tanzania mwaka huu.

Hii hapa Orodha na nitakupatia details za kila mmoja:
👑Miss Grand Tanzania 2026 @jihandimack
👑Miss Cosmo Tanzania 2026 @prisca__lyimo
👑Miss Earth Tanzania 2026 @celine_edson06
👑Miss International Tanzania 2026 @agape_anthonny
👑Miss Intercontinental Tanzania 2026 @janethanselme
👑Miss Global Tanzania 2026 @rossie__.uisso
👑Miss Africa Golden Tanzania 2026 @_zulfa.yazid
👑Miss Elite Tanzania 2026 @official_sharon_01
👑Miss Africa Tourism International 2026 @its_namala
👑Miss Africa International Tanzania 2026 @_eve_godwin___

Top 3 kila mmoja alipata gari mpya Toyota IST.

Natamani katika hili wakenya watusogezee warembo wao
 
Let's assume they built that 60k bpd which in reality will never happen, will it satisfy their consumption? Are they considering future consumptions as well? Ama hao wanataka Tu kujenga because there is a bigger one being built in Kenya?🤣🤣😂
Dangote hawezi jenga tena refinery lamu baada ya kuona hii habari 😭😭😭
 
Back
Top Bottom