Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa kibanda this is ksh 50....then a kilo of rice is 80 in kenya
Hahaha only if I never lived in Kenya
Usitufanye wajinga sisi

View attachment 680432
Cheapest price of rice(Mchele) is ks160 ambayo ni sawa na Tsh 3000
Mkuu ndio maana nikamuambia akawadanganye wadogo zake au kule nairaland walizoea kuwachota akili wanaija lakini sio Tanzanians.

Hivi mnunuzi anaweza kumdanganya muuzaji bei aliyomuuzia? Hahaha yaani mimi nikuuzie kitu kwa bei yangu alafu nizunguke uani tukutane barabarani uniambia hii kitu nimenunua 1000 wakati mimi nilikuuzia 3000? Hahaha jobless mindset is do funny.
 
214DD983-B878-4373-80C0-71E5E970A6B2.jpeg
 
One thing I have realized about Tanzanians, is majority of these guys like to brag about everything. These guys believe their president is a god sent from heaven to help them. I have not seen any one of them criticize their president despite his weaknesses. They praise him for everything that he does even negative ones by quoting constitution. This is what I call blind patriotism. It is good in Kenya we guys plus media, politicians, church leaders criticize the goverment or president for that matter and even the goverment criticize itself just like Uhuru and Maraga or parliament vs executive or vs Judiciary and vice versa. This way these institutions and people do learn, correct their mistakes and we become a better country. This criticm does not mean however, the goverment or uhuru presidency and other goverment entities are not functioning and doing good things but rather it means we acknowledge the good things and hold them accountable where they fail. Blind patriotism such as that of Tanzania only makes a country retard and allows the president to run the country like his own life because he think he is a god who cannot make a mistake
Well, those who criticize jubilee govt,how is their ending?
 
tanzanians are very stupid...so you expect the cost of a plate of fish in a coastal city to be the same as a plate of the same in an inland city? my friend, the reason why fish is cheap in Dar is because Dar is a coastal city..mtu anavua samaki tu na baada ya dakika chahche chakula kiko mezani tayari kuliwa...for instance, a plate of fish will cost more in Nairobi than in Mombasa or Kisumu for instance because of transportation and refrigeration costs etc...simple reasoning......
Unfortunately samaki wanaoliwa dar wengi wanatoka Mwanza,
Pole!
 
it has nothing to do with that bro...for example, if you had a hot and dry climate like the one in Northern Kenya, trust me, there would be food shortages...those guys rarely see rain so they have to find alternative sources of water...e.g underground water or dams...thats why there are food shortages...the govt has got to address that problem pronto...a plan for 57 dams is slowly materializing though...I hope it was not just political gimmicks...
Infact the entire central Tanzania, (Dodoma, Tabora, Singida, Shinyanga,) and some parts of Iringa and Arusha are characterised by dry, Semi Arid climates!
 
I know you can't afford Tanzanian Rice in your country, that why you hide your face.



lol.....who would overlook the sweet aromatic mwea pishori rice for a cheap Tanzanian rice.. if at all they exist in Kenya
 
Actually sifa kubwa ya watanzania ni humbleness, na sifa kubwa ya wakenya ni arrogance na kujisifia sana, ukiona watanzania wanajisifia, jua ni counter reactions against Kenyans, hutosikia mtanzania anajisifia akiwa na mtu toka nchi nyengine yoyote ile duniani zaidi ya Kenya. Ila wakenya wanazozana na kubishana na raia wa nchi zote hapa duniani, hiyo ndiyo sifa yenu na tabia yenu, hamuelewani na mataifa yote except wazungu, mkuacha tabia yenu hii, mbona tutazungumza vizuri na tutashirikiana na ninyi vizuri kama tunavyocheka na kushirikiana na majirani zetu wengine.
 
Back
Top Bottom