Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maku sisi ndio tuliokataa refinery ya dangote,kwani huyo kipapa wenu kwenye kikao na dangote alitangaza refinery itajengwa tanga au lamu?
Hamkukataa. Dangote ndio aliwakataa, na iliwauma kweli kweli😂😂🤣
 
Maku sisi ndio tuliokataa refinery ya dangote,kwani huyo kipapa wenu kwenye kikao na dangote alitangaza refinery itajengwa tanga au lamu?
Dangote's team ndio walichagua Lamu, kama mungekataa hamengekubali wakuje wafanye assessment bongoslum. Mulikataliwa peupe mbele ya dunia.
 
Maku I 👀 can how u feel pain,binafsi atutaki ushirikiano na kunya,janja ya ruto tuliishtukia ya kuingia mradi wa EACOP kwa mgongo wa nyuma,no one anataka kushirikiana na wezi 🖕🖕
Uzuri hakuna refinery inajengwa Tanzania, maybe mdandie ya Uganda😂😂🤣
 
Hata ulie aje hakuna refinery inajengwa Tanga😂😂🤣
Screenshot_20260806-202519.png

🖕🖕
 
Dangote's team ndio walichagua Lamu, kama mungekataa hamengekubali wakuje wafanye assessment bongoslum. Mulikataliwa peupe mbele ya dunia.
Alafu wanadanganywa ATI watajengewa barabara 😂😂🤣
 
Dangote's team ndio walichagua Lamu, kama mungekataa hamengekubali wakuje wafanye assessment bongoslum. Mulikataliwa peupe mbele ya dunia.
si walisema wanaanza ujenzi october? 🤣🤣 meanwhile he is raising money to expand the one in lekki, kenya ni mafala always
 
Dangote's team ndio walichagua Lamu, kama mungekataa hamengekubali wakuje wafanye assessment bongoslum. Mulikataliwa peupe mbele ya dunia.
Mama samia alimchana hadharani ruto kwanini aisemee Tanzania kuhusu refinery,in short elewa tu TZ na UG hazitaki ushirikiano na nyie machokoraa 🖕
 
more logical than the one without crude source 🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo itajengwa by force. Na kama hufurahishwi na hiyo habari then unaezahama kwa nyumba ya mamako. You are burning your parents.
 
Hiyo itajengwa by force. Na kama hufurahishwi na hiyo habari then unaezahama kwa nyumba ya mamako. You are burning your parents.
by force without crude source 🤣 🤣 apo dangote alikua anapigia mahesabu EACOP sasa mrija ushakatwa 🤣🤣🤣🤣🤣 wewe andaa tumble yako ukachote oil pale tanga, huna kwingine kokote
 
Mama samia alimchana hadharani ruto kwanini aisemee Tanzania kuhusu refinery,in short elewa tu TZ na UG hazitaki ushirikiano na nyie machokoraa 🖕
Tanga ilikua inafanyiwa evaluation ya nini kama hamkua munataka? Kama Uganda hawataki ushirikiano wetu, walinunua shares za KPC kwa nini?
 
Back
Top Bottom