Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wanataka kuwrite the narrative with their 15% shares. 😂 😂
move on, rhe strait of hormuz is closed and wars wont end, EACOP ndo kama ivo, Dangote raised money last few weeks kaenda kupanua kiwanda chake, mifala imebaki inaongelea dangote refinery
 
mifala kina Teargass bado inasubiria dangote 🤣 🤣
1786033711018.png
 
Miradi tuyotarajia kujenga Bongo na ambayo ipo under construction ni almost $100 billion Projects.
 
Yaani kwa kifupi aliko Dangote kajitia kidole cha matako kuja kuwekeza karibu na sisi. 😂😂😂😂😂

Imagine itambidi anunue na kusafirisha mafuta ghafi kutoka sijui wapi huko atakapoyapata then asafishie Kenya, halafu ayauze South Sudan (soko lake la karibu) tena atayauza kwa kutumia kuyasafirisha kwa meli 😂😂😂 imagine the cost of doing the whole process.

Halafu atakutana nasisi ambae ndio competitors wake, mafuta ghafi tunayo hapa hapa nchini, viwanda vya kusafishia tunavyo, mabomba kwaajili ya kusairisha mafuta nchi zingine tunayo eg, TAZAMA na hiyo ya UG tutakayojenga + kusafirisha kwa meli nchi zingine.

Kwakifu Dangote kapanda mtumbwi wa vibwengo. 😂😂😂😂
Hawezi kuwauzia South Sudan sababu Uganda anajenga pipeline ya refined petroleum from Tanga, Sudan watachukulia refined petroleum from Uganda
 
Kwa hii trend ya sasa there’s high chances Dangote is going to quit whatever he planned to do in Kundurendan republic. 😂😂😂😂
Mtanunua mafuta ya Dangote Mpende msipende 😂😂🤣
 
Ugandans are only talking about the Ugandan refinery. Yani hata hawajui mambo ya hiyo fantasy refinery in Tanga 🤣🤣
Tanzania is like that village girl that gets banged by every guy just coz they tell her she’s beautiful. Just a useful idiot..🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom