Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uganda and Tanzania are reporting different things on the refinery. Meaning there's no refinery in Tanga😂😂.

Uganda is mostly talking about the Hoima Refinery.
Saaahv ulitakiwa uwe kwenye kilio dangote is raising money to extend his empire in nigeria 😂
 
Uzuri wazungu sio kama mtu mweusi dangote, atie hela huko apate hasara. 😂😂😂


Sisi ni watu wabaya mjomba. Hatuchekeshi.
Mmedanganywa by the way🤣😂😂👇👇

1000359456.jpg
 
Hapo unabidi ulie, mafuta ghafi ya UG tunayo sisi, halafu tutayasifisha then tunauza duniani na kurudisha UG yakiwa refined. Nyie nyang’au sijui mtamuuzia nani hayo mafuta ya Aliko 😂😂 South Sudan au.?
Aren't Uganda building a refinery as well? Mnataka kuwauzia mafuta wafanye nayo nini?😂😂🤣
 
Yaani kwa kifupi aliko Dangote kajitia kidole cha matako kuja kuwekeza karibu na sisi. 😂😂😂😂😂

Imagine itambidi anunue na kusafirisha mafuta ghafi kutoka sijui wapi huko atakapoyapata then asafishie Kenya, halafu ayauze South Sudan (soko lake la karibu) tena atayauza kwa kutumia kuyasafirisha kwa meli 😂😂😂 imagine the cost of doing the whole process.

Halafu atakutana nasisi ambae ndio competitors wake, mafuta ghafi tunayo hapa hapa nchini, viwanda vya kusafishia tunavyo, mabomba kwaajili ya kusairisha mafuta nchi zingine tunayo eg, TAZAMA na hiyo ya UG tutakayojenga + kusafirisha kwa meli nchi zingine.

Kwakifu Dangote kapanda mtumbwi wa vibwengo. 😂😂😂😂
 
Imagine itambidi anunue na kusafirisha mafuta ghafi kutoka sijui wapi huko atakapoyapata then asafishie Kenya, halafu ayauze South Sudan (soko lake la karibu) tena atayauza kwa kutumia kuyasafirisha kwa meli 😂😂😂
What's your level of education?😂😂🤣

Umesema Dangote atakuwa anauza mafuta south Sudan kwa kutumia meli?😂🤣🤣
 
Tuoneshe maendeleo ya kazi SGR tangu mmeanza construction.
I have already posted a 4 day update in previous page. Umekubaliwa kuangalia tena. Anyway MoU is not a formal contract, it's just idea that can die anytime😂😂🤣
 
Back
Top Bottom