stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,501
- 34,084
jamaa ana dharau eti overlow ranked clubs😂😂
View: https://x.com/MickyJnr__/status/2085149310988034312?s=20
View: https://x.com/MickyJnr__/status/2085149310988034312?s=20
Nimefika na nimeona video za Upanga.You sound stupid.. kwani we ushawahi kufika Upanga .? Au hata kuona kwenye videos.? 😂😂😂
Kama huko ndio mnaanza kujenga maduka chini ya tall residential buildings, now you have to know that Upanga yote ipo hivyo na ni tangu kitambo huwa wanajenga hivyo. Hiyo ni kawaida kwa Bongo even in masaki wanajenga hivyo kwasasa, majengo yote marefu ya makazi Victoria, Makumbusho n.k.
Kama unaona ni kipya basi mmechelewa manzee
Yani Kenyan residential area is well developed hadi wanadhani Umoja ni upper class residential area 😂😂Umoja ishakua upper-class? Eti no sewage? Hii ndio masaibu ya kuzoea pit latrine.
Picha iko hadi na sewerline lakini ju wamezoea pit latrines bado anauliza sewage iko wapi, ju hajui how a sewerline looks like.Yani Kenyan residential area is well developed hadi wanadhani Umoja ni upper class residential area 😂😂
Nimefika na nimeona video za Upanga.
Hio enda ukacompare na Roysambu/Mirema.
Mimi Hadi nilikosa nguvu ya kumjibu. Nakuambia from the comments it's very easy to judge these people, huyu Jamaa ni kama anaishi either in the village ama Tandale. That's why he can confidently assume Umoja is a upper class residential area na pia akose kunotice the sewer line next to the road.Picha iko hadi na sewerline lakini ju wamezoea pit latrines bado anauliza sewage iko wapi, ju hajui how a sewerline looks like.
acha kelele nyingi, upper class yenu si hii apa ama mna ingine?Mimi Hadi nilikosa nguvu ya kumjibu. Nakuambia from the comments it's very easy to judge these people, huyu Jamaa ni kama anaishi either in the village ama Tandale. That's why he can confidently assume Umoja is a upper class residential area na pia akose kunotice the sewer line next to the road.
000 umefika Upanga ipi mzee wangu.? 😂😂😂 hadi unadanganya semehu hujawahi hata kuiona walau kwa umbali wa km 5. 😂😂😂Nimefika na nimeona video za Upanga.
Hio enda ukacompare na Roysambu/Mirema.