Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You sound stupid.. kwani we ushawahi kufika Upanga .? Au hata kuona kwenye videos.? 😂😂😂

Kama huko ndio mnaanza kujenga maduka chini ya tall residential buildings, now you have to know that Upanga yote ipo hivyo na ni tangu kitambo huwa wanajenga hivyo. Hiyo ni kawaida kwa Bongo even in masaki wanajenga hivyo kwasasa, majengo yote marefu ya makazi Victoria, Makumbusho n.k.

Kama unaona ni kipya basi mmechelewa manzee
Nimefika na nimeona video za Upanga.
Hio enda ukacompare na Roysambu/Mirema.
 
Nimefika na nimeona video za Upanga.
Hio enda ukacompare na Roysambu/Mirema.
1786012608791.png
 
Picha iko hadi na sewerline lakini ju wamezoea pit latrines bado anauliza sewage iko wapi, ju hajui how a sewerline looks like.
Mimi Hadi nilikosa nguvu ya kumjibu. Nakuambia from the comments it's very easy to judge these people, huyu Jamaa ni kama anaishi either in the village ama Tandale. That's why he can confidently assume Umoja is a upper class residential area na pia akose kunotice the sewer line next to the road.
 
Mimi Hadi nilikosa nguvu ya kumjibu. Nakuambia from the comments it's very easy to judge these people, huyu Jamaa ni kama anaishi either in the village ama Tandale. That's why he can confidently assume Umoja is a upper class residential area na pia akose kunotice the sewer line next to the road.
acha kelele nyingi, upper class yenu si hii apa ama mna ingine?
1786012875813.png
 
Nimefika na nimeona video za Upanga.
Hio enda ukacompare na Roysambu/Mirema.
000 umefika Upanga ipi mzee wangu.? 😂😂😂 hadi unadanganya semehu hujawahi hata kuiona walau kwa umbali wa km 5. 😂😂😂
 
Back
Top Bottom