Traveller D
JF-Expert Member
- Jul 11, 2025
- 1,721
- 4,601
Hii essay yote kutetea your ugly architecture and ugly vumbi neighborhoods.
Unadhani Nairobi haina hizo. Tofauti ni ati ata uncontrolled neighborhoods zetu ziko na lami, na ziko na urban planning.
Mtu anajenga chenye anataka lakini amenities ziko.
LDC kaa lane yako.
View: https://www.youtube.com/watch?v=ZO4oRr6QROY
Sasa hii Karen iko na lami.? 😂😂😂 au unadhani hatuijui.? Karen ni mtaa wa kawaida just like Goba or elsewhere in Dar.