Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ke
1000023655.jpg
1000023614.jpg
1000023504.jpg
1000023505.jpg

1000023656.jpg
 
Just like during CHAN when Kenya was the logistics hub where all officials were domiciled, the story isn't going to be any different during AFCON next year.

Nairobi has officially been chosen as the base from where all matches in Kenya, Tanzania and Uganda will get processed before being aired to the rest of the world.

Yani mechi inafanyika Arusha kule msituni au Hoima Uganda lakini kabla ya hizo livestreams kupeperushwa duniani, zinapitia Nairobi kwanza ndio dunia izione.

Talk of being big in everything 😂😂

View: https://youtu.be/c16mi3dlhwQ?si=n3Ly_D_q1KQhAxGW


Shida nchi kuongozwa na kiongozi muongo muongoo bhas na nchi nzima imekuwa ya uongo uongo tuu..

CAF bado hawaja amua wapi wataweka IBC.. International Broadcast Centre. So chill... Na kwanza mwenye TV rights ukanda huu wa Afrika Mashariki ni AZAM Media. Kunyaland mko kwenye free to air broadcast kupitia KBC, same to Uganda with UBC na Tanzania with TBC.

So, Azam ndio anauwezekano mkubwa wa kuleta IBC Dar kwa sababu tayari ana uwezo na vifaa vya kutosha. Hata Rais wa CAF alishafanya tour Azam Media kukagua uwekezaji ulioko pale.
Kunyaland kuwa na IBC watatumia facility ipi na yenye vifaa gani kuipita Azam?
 
nani yule alisema ni SANYO 😂
1785491548449.png


tunaiona kabisa akibua wakimaliza nyasi before hawa
1785491637019.png

1785491663616.png



as days go on, ndo its going to worse from bad
1785491697819.png


1785491733077.png


1785491805103.png

another side ya kufumua
1785491805123.png
 
Back
Top Bottom