Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,598
- 15,704
You seem to have very good knowledge about kenya and its "affairs".While you are able to name almost half the counties in Kenya, I don't even know Tanzania iko na mikoa ngapi, let alone their names. You are taking a lot of your time and energy learning about Kenya and her people while you can't explain why your vountry is listed as an ldc. You could have used that same energy to pull your country out of Ldc instead.ukabila umesababisha nchi yao kuwa na maendeleo ambayo ni so marginalized.
mfano karibia miradi yote mikubwa ya kuijenga nchi, ilielekezwa katika maeneo ambayo yapo dominated na wakikuyu(central kenya).mfano ni thika road highway.
u-marginalization uliosababishwa na ukabila ndio chanzo kikuu kilicho sababisha baadhi ya county kuwa nyuma sana kimaendeleo kiasi kwamba kamwe huwezi wasikia wakizitaja kwenye thread.
mfano ni
kakamega county
kilifi county
mandera county
garisa county
taita taveta county
kwale county
makueni county
west pokot county
baringo county
bungoma county
siaya county
busia county
turkana county.
hayo ni maeneo ambayo kiasili siyo sehemu ya wakikuyu.