Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ukabila umesababisha nchi yao kuwa na maendeleo ambayo ni so marginalized.

mfano karibia miradi yote mikubwa ys kuijenga nchi, ilielekezwa katika maeneo ambayo yapo dominated na wakikuyu(central kenya).mfano ni thika road highway.

u-marginalization uliosababishwa na ukabila ndio chanzo kikuu kilicho sababisha baadhi ya county kuwa nyuma sana kimaendeleo kiasi kwamba kamwe huwezi wasikia wakizitaja kwenye thread.

mfano ni
kakamega county
kilifi county
mandera county
garisa county
taita taveta county
kwale county
makueni county
west pokot county
baringo county
bungoma county
siaya county
busia county
turkana county.

hayo ni maeneo ambayo kiasili siyo sehemu ya wakikuyu.
Duh hizi me ndio nazisikia leo kwa kweli

kakamega county
kilifi county
mandera county
garisa county
taita taveta county
kwale county
makueni county
west pokot county
baringo county
bungoma county
siaya county
busia county

Bila shaka hizi ndio hawa watu wanaishi
images
 
ukabila umesababisha nchi yao kuwa na maendeleo ambayo ni so marginalized.

mfano karibia miradi yote mikubwa ya kuijenga nchi, ilielekezwa katika maeneo ambayo yapo dominated na wakikuyu(central kenya).mfano ni thika road highway.

u-marginalization uliosababishwa na ukabila ndio chanzo kikuu kilicho sababisha baadhi ya county kuwa nyuma sana kimaendeleo kiasi kwamba kamwe huwezi wasikia wakizitaja kwenye thread.

mfano ni
kakamega county
kilifi county
mandera county
garisa county
taita taveta county
kwale county
makueni county
west pokot county
baringo county
bungoma county
siaya county
busia county
turkana county.

hayo ni maeneo ambayo kiasili siyo sehemu ya wakikuyu.



Lol........Siaya or bungoma can be the richest counties in Tanzania by Tanzanian standards.. ...
 
Duh hizi me ndio nazisikia leo kwa kweli

kakamega county
kilifi county
mandera county
garisa county
taita taveta county
kwale county
makueni county
west pokot county
baringo county
bungoma county
siaya county
busia county

Bila shaka hizi ndio hawa watu wanaishi
images


hahaha......Lack of exposure makes you look stupid......
 
Naona we mgeni hapa pitia hizi battles uoshe macho; Nakuru vs mwanza, eldoret vs mwanza, kisumu vs mwanza na Mombasa vs dar alafu urudi hapa
Naona unaota tena upo usingizini tena usingizi wa nusu kaputi eti mgeni wanaomjua madrid boy wakina Edward wanjala, luzmatic,Ichoboy01 wengine hawawezi kuongea unavyoongea fungua nyuma uko kwa muda wako uone comment za madrid boy
 
hahaha......Lack of exposure makes you look stupid......
Katika regions nilizozimulika leo kuanzia [HASHTAG]#Morogoro[/HASHTAG] [HASHTAG]#Kigoma[/HASHTAG] [HASHTAG]#Manyara[/HASHTAG] yote sio majiji (cities) ni mikoa ya kawaida lakini hakuna County hata moja kati ya hizo hapo juu zinaweza kucompate na one of them
 
strongest army who only wank in the barracks and can't face alshabaab
Face Alshaabab for what? Wajichanganye wajarib kuhatarisha Amani ndio wataelewa..

Kuna wale waliokuwa wanatoka Kenya wakajaribu kupitia Tanga walichokipata mpaka Leo wamebaki uko uko Kenya..
 
kenyans, apart from nairobi, nakuru, uasin gishu, kiambu, nyeri, nyandarua, kirinyaga,murang'a, and kiambu county where the kenyattas and a small group of powerful elite in kenya comes from,i challenge you to show us any complited or ongoing construction project in these places.

kakamega county
kilifi county
mandera county
garisa county
taita taveta county
kwale county
makueni county
west pokot county
baringo county
bungoma county
siaya county
busia county
turkana county.
 
Face Alshaabab for what? Wajichanganye wajarib kuhatarisha Amani ndio wataelewa..

Kuna wale waliokuwa wanatoka Kenya wakajaribu kupitia Tanga walichokipata mpaka Leo wamebaki uko uko Kenya..



you really know how to shout on a social platform that one I give it to you guys......but in reality......hahaha.Heri hata waganda
 
kenyans, apart from nairobi, nakuru, uasin gishu, kiambu, nyeri, nyandarua, kirinyaga,murang'a, and kiambu county where the kenyattas and a small group of powerful elite in kenya comes from,i challenge you to show us any complited or ongoing construction project in these places.

kakamega county
kilifi county
mandera county
garisa county
taita taveta county
kwale county
makueni county
west pokot county
baringo county
bungoma county
siaya county
busia county
turkana county.



just go to the Kenya government portal and see what the county governments are doing.......
 
Naona unaota tena upo usingizini tena usingizi wa nusu kaputi eti mgeni wanaomjua madrid boy wakina Edward wanjala, luzmatic,Ichoboy01 wengine hawawezi kuongea unavyoongea fungua nyuma uko kwa muda wako uone comment za madrid boy
haya habari ushapata
 
kenyans, apart from nairobi, nakuru, uasin gishu, kiambu, nyeri, nyandarua, kirinyaga,murang'a, and kiambu county where the kenyattas and a small group of powerful elite in kenya comes from,i challenge you to show us any complited or ongoing construction project in these places.

kakamega county
kilifi county
mandera county
garisa county
taita taveta county
kwale county
makueni county
west pokot county
baringo county
bungoma county
siaya county
busia county
turkana county.
What about Tanzania??? Mikoa zote zinatoshana?..ujinga ni kama ugonjwa.....unasahau tunajua maeneo Tanzania hadi madarasa ni chini ya miti?
 
Lol........Siaya or bungoma can be the richest counties in Tanzania by Tanzanian standards.. ...
laiti kama hizo counties nilizotaja hapo juu zingekuwa na maendeleo yoyote ya maana, msingekaa kimya. lazima mngekuwa mnazizungumzia hapa kwa thread.

hata siku moja hatujawahi kuwasikia mkizitaja.kila siku mnaitaja nairobi, eldoret na nakuru(kikuyus and kalenjin dominated areas).

hizo ndio zile counties zilizojaa umasikini na ufukara usio na kifani.

kama vipi tuonyesheni miji ya hizo counties. tuonyesheni rasilimali zilizopo, tuonyesheni development opportunities zilizopo.

tuonyesheni availability of basic needs like food and social services like hospitals.
i'm waiting.
 
Back
Top Bottom